Sitakaa nimuamini tena mwanamke

Sitakaa nimuamini tena mwanamke

Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji


Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man

Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
'Moto Wangu' ndo nini??Nimetoka kapa
 
Usimwamin huyo aliyekutendea ushenz ila waamini wanawake wengine kwa kuwa bado hawajakutendea mambo ya aibu
 
Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji


Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man

Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
moto wako umekufa ganzi?
 
Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji


Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man

Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Yashatokea aliona huna msimamo ndugu ndio mana kaondoka sio uliyepangiwa songa mbele wewe.utapata uliepangiwa okay.
 
Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji


Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man

Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Mlikuwa wote chuo? Mapenzi ya chuo huishia siku ya graduation. Pole kaka.
 
Pole Mkuu ni baadhi ya wanawake ndiyo wako hivyo hawajitambui kabisa. Hasira zako zikipungua au kuisha kabisa unaweza kupenda tena na labda kupata bahati ya kukutana na mrembo anayejitambua badala ya magurunyembe.

Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji


Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man

Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
 
ila mwanamume anaaminiwa sio?? wakuaminiwa ni mama mzazi tu ikiwa alikuwek tumboni miezi 9 akakuzaa kwa uchungu na kukulea kwa umakini hadi ukakua basi hawezi kukudhuru wala kukuumiza
Ikiwa mwanamke ameweza kutamka maneno Haya Hii ni dhahiri kuwa mwanamke hapaswi kuamiwa katika maisha ya mahusiano?

Nashukuru sana Principle yangu kutowaamini Hawa viumbe imenifanya nisiumie katika mahusiano yangu kamwe
 
Tafuteni Ufalme wangu kwanza na mengine yote mtazidishiwa
 
Wakuu nilkua na binti tena nlkua nampenda sana kwa moyo Wangu wote
Amenisaliti na kapigwa mimba juu tulikua tumepanga mengi mazuri hapo mbeleni sasa yote hayo yameenda na maji


Am totally frustrated wanawake mtu akikupenda mpende ila nashukuru am a man na I will stand like a man

Nilichoamua Mimi sitokaa nimwamini mwanamke na now days wadada I look them like trash sina mapenzi nao tena moto Wangu umekufa ganzi.
Pole, hauko peke ako,maumivu yake unayoyapata nayaelewa hakika,kama huna moyo was chuma unaweza kufa ukaacha Mali zako wengine wakala kiurahis, na ukisema umove on ndo unakutana na MTU haelewek,kwanza hana muda na wew, hakujal yaan had nahis hasira zinapanda tena,yaan jamn mpaka sasa nikitongozwa na mwanaume simuamin halaf nakuwa namjibu kwa hasira na nakata tamaa,naanza kusema huyu ndo kama yule wait aniache zang, unaweza ukawa na kila kitu lakn ukimkosa MTU was kukupenda hata asset ulizonazo waeza on a chungu, huwa nataman kukaabar lakin nashindwa natoka hadi karibu na eneo LA bar nikiona jinsi palivyo narudi mbio, pole sana ndugu tupo weng tunaouguza vidonda vya maumivu
 
Back
Top Bottom