Rahisi kuliko yote ni hii hapa. Mihogo mikubwa Minne inauzwa Tsh 1000. Ukiikata vizuri unapata vipande 8 x 4 = 32 ambayo ukiaanga kila kiwanda unauza Tsh 100 hadi 200. Sema unauza 150 x 32 = 4,800.
Chukulia umeanza na maji wa 15,000 Miogo ya 10,000 sawa na miogo 4 x 10 = miogo 40 x vipande...
Nimetafakari kwa kina na kuona kwamba watanzania tunaongoza kwa kubadilisha majina ya vitu na kubatiza vitu majina yasiyo yake.
Naomba nianze na swala la mifuko ya plastiki maarufu mifuko ya Rambo. Jina Rambo ilipewa mifuko hii enzi hizo cinema ya Rambo ilikuwa imeshika umaarufu duniani...
Naomba niwarudishe shule kidogo. Kwanini tunatumia copper Road kuunganisha waya wa Earth kwenye nyumba zetu?
The resistance of an electrical Conductor depends on 4 factors, Length, Cross section Area, type, and Temp of material.
It is known that Resistance R, ∝ L and R ∝ 1/a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.