Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Mechi ya Tanzania vs Uganda ilikuwa ni fursa nzuri kwa wizara ya afya na kitengo cha damu salama kuweza kukusanya kiwango kikubwa sana cha damu ya akiba kutoka wa wasamaria wema kutokana na uwepo wa idadi kubwa sana ya watu.
Nimeandika hivi kwa maana kwamba jana katika maeneo ya uwanja wa taifa kulikuwa na watanzania zaidi ya elfu sabini ndani na hata nje ya uwanja.
Je, walikuwepo hawa watu wa hiki kitengo cha damu?
MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Mechi ya Tanzania vs Uganda ilikuwa ni fursa nzuri kwa wizara ya afya na kitengo cha damu salama kuweza kukusanya kiwango kikubwa sana cha damu ya akiba kutoka wa wasamaria wema kutokana na uwepo wa idadi kubwa sana ya watu.
Nimeandika hivi kwa maana kwamba jana katika maeneo ya uwanja wa taifa kulikuwa na watanzania zaidi ya elfu sabini ndani na hata nje ya uwanja.
Je, walikuwepo hawa watu wa hiki kitengo cha damu?
MUNGU IBARIKI TANZANIA.