Jbush Garigo
Member
- Feb 24, 2019
- 33
- 22
Hiyo faida ya 5000 hadi 10000 baada ya wiki mbili unawezaje kuishi mjini kama sio udongo?
Mkuu gas ni 20000 kujaza iyo 50 ni pamoja na mtungi
Huku mkoani niliko mara zote nimekuwa nikinunua mtungi wa gesi wa kilo 16 kwa elfu 54. Na hapo naenda na mtungi wangu uliokwisha na kupewa mwingine uliojaa! Huenda hiyo ya elfu 20 ni ile midogo.
Serikali kuacha kukusanya tozo katika mkaa maana inapunguza kukata miti katika wastani mdogo mno na kuongeza nafasi ya kula mlo mmoja kwa siku kitu ambacho ni hatari..Mkuu unashauri nini? Je tutafute njia ili mwananchi maskini aweze ku afford gas,umeme, biogas nk au tuendelee kukata miti yetu
Ni cheap kama una kipato cha uhakika mkuu,imagine kipato chako ni cha chini halafu inakukatikia wakati ambao huna ukiangalia mkaa wa sh elf 1 unakutosha kula na familia yakoMatumizi ya gas kwa maeneo ya mijini ni cheap juliko huo mkaa. Ninachokiona watumiaji wengi wa mkaa wanakwepa ile initial cost ya vifaa vya gas (mtungi, jiko na viunganisho vyake) ila gas ni cheap zaidi ya mkaa.
Sent using Jamii Forums mobile app