MAJESHI YA ANGA KUNANINI?

MAJESHI YA ANGA KUNANINI?

Mwambie afanye kazi za watu mshahara c anapata?
 
Jamani hebu tuwe waungwana Leo ndio kwanza trh mwezi wa sita. hiyo posho ya mwezi wa sita wameipata lini?
 
Kuna jamaa zangu wajeshi wanalalamika sana kukatwa posho za vinywaji ili kuendesha shughuli za vikosi Kama stationery mwezi wa tatu na wa sita,hii imekaaje.
Kwanini wanalalamika kwanini wasichukue Mig 21 moja wakajifanya kama wanapita jirani na pale wakaachia moto mmoja heshima itakuwepo.
 
Kuna jamaa zangu wajeshi wanalalamika sana kukatwa posho za vinywaji ili kuendesha shughuli za vikosi Kama stationery mwezi wa tatu na wa sita,hii imekaaje.
Acha kuleta uchocheza,maneno ya kuambiwa changanya na yako
 
Back
Top Bottom