Sijui kuhusu sheria ila naamini kisaikolojia sio nzuri kabisa kwa huyu mtoto kina Millard na wengine mlioweka hizi video nadhan mtumie busara angekuwa mwanao usingefanya hivyo
Mifuko ya jamii bado kuna siasa kuhusu hili suala la fao la kujitoa mimi mwenyew ni muhanga wa hili mwezi wa sita sasa bado nafuatilia haya mafao baada ya kibarua changu kuota nyasi sasa kila nikienda hela zipo ila wanadai hawatoi hela na ipo kama 7m ambay naamini itanisukuma mtaani kuendeleza...
Shida hamuelewan mwenzio anajua cpu ni lile boksi kumbe ni processor ambayo ipo mle ndan ya lile boksi kifupi hard drive na cpu zote zinapatikana ndan ya lile boksi na data sheet nahitaj zinahifadhiwa ndan ya hard drive
Habari wapendwa humu JF, Mimi nina miaka 28 chuo nimepita nikapata degree ya masuala ya computer ila kama mnavyojua wimbi la kukosa ajira limekuwa tatizo kubwa kwasasa ndio maana nimeamua kuja kwenu naamini humu Kuna wadau wa Kila sekta ambao kwa namna noja au nyingine wanaweza kunipa muongozo...
Kila nikikukumbuka kipindi kampeni ya kumchangia Lissu hiki kituo pendwa kilivyokuwa busy na Mambo yake utadhan hakikuwa kinajua kinachoendelea najikuta napata shida kumchangia boss wao.....
Mungu ampe uzima Lissu na Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.