msindikizaji
JF-Expert Member
- Aug 29, 2010
- 1,763
- 2,883
we acha tu. Hv huyu kwanini alitufanyia hv?Tunasubiri sarakasi kama hizi za SirroView attachment 1237181
we acha tu. Hv huyu kwanini alitufanyia hv?Tunasubiri sarakasi kama hizi za SirroView attachment 1237181
Kwani ukiiba computa ndo data zinapotea?!!
Shida hamuelewan mwenzio anajua cpu ni lile boksi kumbe ni processor ambayo ipo mle ndan ya lile boksi kifupi hard drive na cpu zote zinapatikana ndan ya lile boksi na data sheet nahitaj zinahifadhiwa ndan ya hard driveMimi niliamini kuwa wezi hawa wamekwenda kuiba taarifa, na ndiyo sababu iliyowafanya waibe komputa. Kipindi sisi tunasoma IT, tulifundishwa kuwa data huwa zinakaa kwenye hard disk, na si kwenye Processor. Vipi siku hizi kuna modern machines ambazo zinahifadhi data kwenye CPU? Hiki kitu kinakuwa kigeni sana kwangu, na ndiyo maana huyo uliyem-quote ameuliza swali hilo alilouliza, mimi nadhani yuko sahihi
Shida hamuelewan mwenzio anajua cpu ni lile boksi kumbe ni processor ambayo ipo mle ndan ya lile boksi kifupi hard drive na cpu zote zinapatikana ndan ya lile boksi na data sheet nahitaj zinahifadhiwa ndan ya hard drive
Kuna ka habari kanatrend sehemu kwamba Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) ofisini kwake kumetokea uhalifu wa kuibiwa kwa CPU za kompyuta zote zenye data.
---
Kamanda wa Kanda Maalum ya Kipolisi, Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, amekiri kwa njia ya simu kwamba tukio hilo ni la kweli.
"Kweli tukio hilo limetokea na polisi tumepokea taarifa Jumanne asubuhi, mpaka sasa hakuna mtu anayeshikiliwa kuhusiana na tukio hilo," alisema Kamanda Mambosasa kwa njia ya simu wakati akizungumza na Nipashe.
Akifafanua zaidi alisema kwa sasa jeshi lake linaendelea na uchunguzi kuhusu tukio hilo.
Hata hivyo, DPP alipopigiwa simu yake ya mkononi mapema jana kuhusu tukio hilo na idadi ya kompyuta zinazodaiwa kuibwa, alisema kwamba yuko kwenye kikao.
"Ndiyo nakusikia kwa sasa niko kwenye kikao," alisema DPP na kukata simu.
Kwa mujibu wa chanzo cha Nipashe Jumanne, Oktoba 15, mwaka huu, asubuhi ilibainika kuibwa kwa kompyuta hizo.
Baadhi ya kesi zilizopo katika hatua ya makubaliano ni ya uhujumu uchumi inayowakabili vigogo wa IPTL, Harbinder Sethi na James Rugemarila, wanaodaiwa kutakatisha zaidi ya Sh. bilioni 309.
Watuhumiwa wengine ni mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera, anayetuhumiwa kukwepa kodi na kutakatisha jumla ya Sh. milioni 173.
Mtuhumiwa mwingine ni Yusuf Ally, maarufu Mpemba wa Magufuli anayetuhumiwa kusafirisha nyara za serikali zenye thamani zaidi ya Sh. milioni 200.
Chanzo: Nipashe
Uzuri wa mifumo ya kieletroniki kuna kakitu kanaitwa BAKAPU
Mimi niliamini kuwa wezi hawa wamekwenda kuiba taarifa, na ndiyo sababu iliyowafanya waibe komputa. Kipindi sisi tunasoma IT, tulifundishwa kuwa data huwa zinakaa kwenye hard disk, na si kwenye Processor. Vipi siku hizi kuna modern machines ambazo zinahifadhi data kwenye CPU? Hiki kitu kinakuwa kigeni sana kwangu, na ndiyo maana huyo uliyem-quote ameuliza swali hilo alilouliza, mimi nadhani yuko sahihi
Kuna nini kipo behind??
Hivi wataalamu wa IT kuna uwezako wa kurudisha data zilizopotea???
View attachment 1236636
"Data" siku hizi hazipotei hata ukiiba "computers" zote.
Ikiwa visimu vyetu tu vina "data backups" za Kimataifa itakuwa data za sehemu nyeti kama hiyo? Fikiri.
Na kama walikuwa hawana "backups" za uhakika basi hiyo ofisi wote wachukuliwe hatua kali sana kuanzia DPP mpaka mfagizi wa ofisi.
Watakuwa wote wamesomea ujinga.
ATAKUWA AMEIBA HUYU WA dakika saba. hata hivyo bado ataiba DDP mwenyeweBado kuna fungu anaendelea kupokea ..sijui kama tutabaki salama
View attachment 1236566View attachment 1236567
britanicca ww hutakiwi huku, tutakusaidia ichunge Mada kwani muelekeo zilipokwenwenda kunaanza kujionesha kaa ufahamu wengi wanabofya tu humu JF kwa hiyo wanabwabwaja, km na hapa hawataelewa CPU zilizoibiwa ni zipi basiKwani Mnajua maana ya HDD Pili System Unit tatu CPU?
taarifa hizo haziwezi kusambaa kihivyo nahisi ni Computer moja tu ya Boss ndio ina siri hizoHata kama zitakuwa zimeibiwa,mtu wa IT atakuwa na cha kujibu maana anatakiwa awe anafanya backup angalau kwa wiki mara moja,kwahiyo sidhani kama kutakuwa na uzembe wa kiasi hicho kwa issue sensitive kama hiyo...
Kwenye hilo deal kuna mkono wa huyo mkuuwatakaa sana mahabusu wasifikiri wakiiba watatoka.Mkuu akisema mnasema ni mkorofi.