Leo hatukuwa na bahati acha lawama, vijana wamepiga mpira sana...ila Afcon tulionekana kabisa mipango hovyo na ushirikiano wa kikosi ulikuwa F
Tatizo ni CCM,gundu mwanzo mwishoHaya wale wa kulaumu na kuhamisha goli.... Leo tuhamishie lawama kwa nani?
Mje!
Nani hakuwepo leo?
Ushindi vipi???Leo hatukuwa na bahati acha lawama, vijana wamepiga mpira sana...ila Afcon tulionekana kabisa mipango hovyo na ushirikiano wa kikosi ulikuwa F
Acha wivu angekuwa anatoka Simba ungemtaja vizuri,Etienne Apewe Team Mazima
Team Imecheza Vizuri Ila Tatizo La Finishing Pale Mbele Ni Shida.
Na Viungo Wa Kupeleka Team Mbele Wao Wanapiga Back Pass. Ajibu Alivyoingia Ndo Akawa Anajaribu Kusogeza Team Mbele Yaan Hakuna Kugeuka Nyuma. Safi!
Big Up Kwa Beki Nyuma Wamejitahidi. Hasa Kale Kajamaa Cha Kulia Sijui Paul Nanii!
Nimesema Tu Me Sio Mzalendo
Cvnyie wale wa apewwe mara afukuzwe MPIRAEtienne Apewe Team Mazima
Team Imecheza Vizuri Ila Tatizo La Finishing Pale Mbele Ni Shida.
Na Viungo Wa Kupeleka Team Mbele Wao Wanapiga Back Pass. Ajibu Alivyoingia Ndo Akawa Anajaribu Kusogeza Team Mbele Yaan Hakuna Kugeuka Nyuma. Safi!
Big Up Kwa Beki Nyuma Wamejitahidi. Hasa Kale Kajamaa Cha Kulia Sijui Paul Nanii!
Nimesema Tu Me Sio Mzalendo
Ni kweli kaka ukikumbuka hii team imekaa kama wik moja bad chemistry haikuw nzur ila amunike alikaa na team mwez mzim ila haikuwa na chemistry yoyoteLeo hatukuwa na bahati acha lawama, vijana wamepiga mpira sana...ila Afcon tulionekana kabisa mipango hovyo na ushirikiano wa kikosi ulikuwa F
ha haaaEtienne Apewe Team Mazima
Team Imecheza Vizuri Ila Tatizo La Finishing Pale Mbele Ni Shida.
Na Viungo Wa Kupeleka Team Mbele Wao Wanapiga Back Pass. Ajibu Alivyoingia Ndo Akawa Anajaribu Kusogeza Team Mbele Yaan Hakuna Kugeuka Nyuma. Safi!
Big Up Kwa Beki Nyuma Wamejitahidi. Hasa Kale Kajamaa Cha Kulia Sijui Paul Nanii!
Nimesema Tu Me Sio Mzalendo
AFCON mechi zilituzidi kiwango,leo tumefeli siyo hatukuwa na bahati.Unaupiga mwingi bila malengo.Leo hatukuwa na bahati acha lawama, vijana wamepiga mpira sana...ila Afcon tulionekana kabisa mipango hovyo na ushirikiano wa kikosi ulikuwa F