Huyu itakuwa kashinikizwa na mumewe cha msingi mgawane kila mtu afe na chake vinginevyo unaelekea kudhulumiwa.
Ila sisi binadamu tunakuwa na tamaa sana usirudi nyuma hata hatua moja pambana ila kwa tahadhari kwani hii ishakuwa vita.
Wenyewe kila kitu ni kupinga tu hata kama kinamnufaisha mnyonge...tumewachoka na siasa zenu na kama kuna mtu hajafurahishwa na kauli ya Rais anaweza akahama nchi sio lazima aishi Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.