Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Yeah mimi ni wa Dar. We wa wapi?Wallah Asprin utakuwa wa dar wew
Yeah mimi ni wa Dar. We wa wapi?Wallah Asprin utakuwa wa dar wew
Hahahaha angeshadedi kwa wivu wallahMim kwa sasa Nina classmates zaid ya 10000,,,sasa sijui km Mimi ndio ningekuwa mumewe ingekuwaje!??
we unakagua simu ya mume wako unatafuta nini?Ongeza utundu kwenye mambo ya maana sio kupekua simuWeweeeee kila mtu ni classmate wake yaan kila nae muuliza ni classmate
Upo sirias au unatania?Nifate inbox
Wivu mbaya sanaHahahaha angeshadedi kwa wivu wallah
Basi sawa. Vipi ile kazi ya sheli ushafanikiwa?Nilijua tu bhna mim wa mwanza
Anadhani anaweza kumchunga mwanaume...Wivu mbaya sana
Nilikuwa nakufanyia mpango... ila sheli yenyewe iko Dar. Nadhani mi na wewe tutakuwa maclassmates bora kabisa.Bado we naeeeee
Sijui nini sasa?We kama mtundu mmeo hawezi anza kula kwa mama ntilie.Jitazame kwanza kam unaweka jitihada za kutosha.Mpe kitu moyo unataka plus change.JIONGEZE habari za kuhoji majina ya kwenye simu ni kumtia genye zaidiWe ujui tu kaka
Na wewe save classmates na.uanze na mimi classmate wako wakaribu kabisaUshauri jmn simu ya mume wangu imejaa majina ya kike tu kila ukimuliza anasema ni classmate wake cha kushangaza anaasave jina kamili na anamalizia clasmate wenye uelewa tafadhali tusaidiane.