Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Kumbe lazima atoe rushwa kwa wabunge ili apitishe sheria anazotaka!!!Magufuli ana nia njema kabisa , kafanya haya kwa dhumuni la kuwaletea watu maendeleo na kuinua vipato vya wananchi. hata mlalamike kiasi gani, Magufuli katatua tatizo ambalo kimsingi lilikuwa kubwa. nyie mnaosema Magufuli kavunja sheria, hivi mnadhani Rais Magufuli akipeleka muswada huo wa marekebisho wa sheria bungeni , hautapita kuwa sheria? ?magufuli alichofanya ni kupunguza mchakato wa mabadiliko hayo ambayo ungegubikwa na rushwa na ufisadi