Nyie hata mpewe nini huwa hamridhiki, naimani hata hamjui mnataka kupewa nini 😂😂😂 nacheka kama mazuri , naona inanyesha sasa kilichobaki ni kuona panapovuja
Hakuna anayeupenda umaskini hata kidogo, Ila suala la kuwa na maisha mazuri kwa pesa za mauza uza hapana kwa kweli wacha nizisake kibishi ntaridhika na kidogo ntakachokipata .
Habari za mida wasaka tonge wenzangu,
Nimekuwa natamani na mimi nimiliki biashara yangu,ila changamoto inakuwa kwenye mtaji wa kuanzishia hiyo biashara.
Njia zipi labda zinaweza kunisaidia kupata mtaji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.