Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Vipi mkuu una mawazo tofauti na aliyotoa mdau hapo juu?aisee....
Vipi mkuu una mawazo tofauti na aliyotoa mdau hapo juu?aisee....
Kwa mtu mwenye lengo la ku-develop mobile na desktop software, kernel programming, robotics, AI hakuna njia ambayo unaweza epuka C au C++, memory management ya C++ wakati wa execution ni nzuri kuliko programming languages kama javana ndio maana bado games na software nyingi kubwa ikiwemo Android zimeandikwa kwa C++.Naona mfumo wa chuo umekuharibu, full kukariri. Mimi ni mkulima na nilijifunza mwenyewe programming bila kwenda chuo!!
Haya mawazo ya kusema mtu aanze na C alafu C++ ni upotezwaji muda... Huu mfumo uache huko huko chuoni kwenu!!
Sio kweli ili utengeneze Android Apps ni lazima ujue JAVA, Nadhani unafahamu kuwa android wana kitu kinaitwa Android Native Development Kit(Android NDK),Kama unataka kuwa software developer basi huwezi ikimbia java kwa amdroid apps!!
Binafsi narudia tena C++ ni language bora kuanza nayo kwa sababu unaweza kuunda hizo mobile apps na desktop software ,japokuwa java na kotlin zipo kwa UI kwa android.Binafsi nilianza kujifunza programming kwa kujifunza java... Sikuanza na c wala c++ maana nilikua specific nataka android app dev...!!
Kazi kwako, nenda youtube utakuta video nyingi za kujifunza... Chakufanya wewe chagua nn unataka then ingia youtube!!
Electrical engineering - WikipediaVipi mkuu una mawazo tofauti na aliyotoa mdau hapo juu?
Sio mbaya kama tutakuwa tunachnagia mawazo nina kama mwaka mmoja hivi niko najifunza PythonMm mwenyewe nimeanzaaa kujifunzaa python..... Taratibu tu na kitabu kinaa page 500+... Sijui lini nitakimalizaa ilaa sikati tamaaa
Karibu pm kwa maongezi zaidi mkuu... Mm ndo kwanza nipo mwanzoni.....Sio mbaya kama tutakuwa tunachnagia mawazo nina kama mwaka mmoja hivi niko najifunza Python
Mm nakazia hiyo site mkuu hutojuta yanikwa kuanza nenda w3schools.com utapata darasa la web programming
nisaidie hiyo mkuu!!Nna pdf imecover website designing, kama unahitaji ni post
Naona umechukua uamzi mugumuWakuu nashukuru sana kwa mapendekezo yenu, nahitaji kusoma coding kwa ajili ya software development.
Tuendelee kujuzana maujanja ya mambo haya.
Hayo madubwana ya if else, else if, end if...nested if...while sijui nini, asee programming ni kama forex tu. Its not for everyone. Muhuni nilikuwa naona nyota tu ila nashukuru shule iliisha.
Nina passion na IT ila tulipofikia hapo nilipiga chafya. Programming inataka moyo maana unaeza usielewe chochote mwanzoni. Nadhani nahitaji mwalimu mzuri ambae tutakaa meza moja anipe concepts na jinsi zinavyo apply kwa kila event unayotaka kui implement twende taratibu sana ili nielewe.
Wacha na mm nianze kujifunza kaa mkao wa kula mzee baba maana any time nitakuwa nakusumbua sumbua kwa sana tuu..Computer programming language ni:
1-C Language
2-C++
3-Objective C
4-Java
5-Javascript
6-Rubi
7-Python
Nakushauri anza na namba moja, uanze basics zake zote kisha uimalize yenyewe. Ukiweza kuimudu hizo nyingine utajifunza kirahisi
Mkuu kuna watu wamekuua aisee mpaka nilianza kuumia moyoni thank God uko fine kule kwenye uzi wa penielaNgoj
Wacha na mm nianze kujifunza kaa mkao wa kula mzee baba maana any time nitakuwa nakusumbua sumbua kwa sana tuu..
Maana fani ya auto electronics na kutojua mambo ya programming aisee nikupelekeshana na kuwa tegemezi na kuliwa pesa kila siku na wajanja..
Pia nimejaribu kusoma python naona ofcoz its kinda simple ila nahitaji ndau wa ku interact nae.. vp can we pal up?Duh. Jitahid lkn utafika tu.
Ila ungekuwa karbu na mm ngekupa video za python.
Uajifunza leo mpaka kufikia kesho we ni mtaalam wa python.
Python ni simple language but powerfull. Ni ya kusoma siku moja tu.
Then kinachofuata una practise kama one .month syntax zikikukaa vizur unaanza kulearn intermediate way.
Apo unakula lib mpaka ukome, unakula GUI mpka ukome, unakula algorithm mpka ukome.
Now u good 2 go to advanced python. Huku nako n shidar tu.
point takenkuna vitu vya kuanza unatakiwa ujue what is coding,how to pia upate review za watu pia ujue haina za language na etc
binafsi unatakiwa uanze na web coding
1. html
2.css
3.javascript
4.php
hapa itakusaidia sana
then unafika kwenye programming language za kudevelop program
hapa ndo huwa wengi wanashindwa kuwa na mahamuzi sahihi mwisho wanakuwa wanadunda dunda tu basic mwishowe hawawi programmer ila wanakuwa joker programmers haha why?
unaweza kuwa programmer wa aina moja tu au mbili tu na ukatoboa on this world
kuna
C
C++
JAVA
PYTHON
GO
RUBY
VB
unaweza ukachagua C au JAVA tu kusoma daily na ukatoboa
my advice ni chagua language 2 tu ,kazania kama utakuwa seriosly basi game over you are now a programmer hahah
soma c and c++
DONT FORGET
CODING IS NOT ABOUT WRITTING IT IS ABOUT THINKING
study as hobby,do more practice
dont forget to press THANKS BUTTON
rahisi ukipata right piece of information as required, sio mambo mengi yasio na maana!Code mbona kama rahisi nimeanza na HTML na C++ naona easy tu sioni ugumu ila forex nipo mwez wa tatu du inahitaji moyo but sjawahi shindwa naamini nitaweza tu hii html na C++ Natumia mwezi tu nakuwa nishaelewa kila kitu