johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Nyakati kama hizi tulizoea kuona salaam za Heri ya Krismas na Mwaka Mpya hapa JF kutoka kwa Viongozi mashuhuri wa Kisiasa, mwaka huu nasoma salamu za CCM tu sijajua tatizo ni nini?
Hata hivyo tunamshukuru Mungu wa mbinguni Sikukuu imekuwa nzuri sana.
Hata hivyo tunamshukuru Mungu wa mbinguni Sikukuu imekuwa nzuri sana.