Hi
Nashukuru kwa mawazo yako, they are helpful, although some are misleading, let me rectify or shed more light on this matter
In this post of mine I have tried to be honest with you guys to the best of my knowledge, I have explained everything that you needed to know which I thought was...
Hi guys,
Mimi na mtu wangu tulikuja states kutafuta maisha miaka 9 iliyopita, tumekua tukiishi pamoja bila ndoa kwa kipindi chote hicho, tuna mtoto mmoja wa miaka 5, tangu tumekuja hapa states shughuli zetu ni kubeba box, I mean blue colar jobs, nadhani nimeeleweka nikisema hivyo.
Kwa kweli...
Kaka unajiaibisha, hizi article zinaweza kuandikwa na mtu yeyote hata wewe, ni mtizamo wa mwandishi, kwa busara ya kawaida tu iran haiwezi kusimama kivita na marekani, sio iran tu gulf yote hayupo mwenye uwezo huo
Mm binafsi ukiniambia ni bet kati ya iran na Israel nani atampiga mwenzie...
Inaonekana huna info za katosha kuhusu iran na marekani, hivi kweli mtu na akili zako timamu unaamini iran inaweza kusimama kivita na marekani? Unalinganisha iran anaemiliki ndege za kizamani za mig 21, umlinganishe na america
Hata warusi wanajitutumua tu, wanajua hawawezi kusimama na america...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.