Tundu Lisu unaangaika na hao Kabudi keshaingia kwenye zizi la hao jamaa ataziba masikio yake mpaka mtamshangaa,zile kelele zake za zamani ilikuwa ni kusaka tonge tu,njaa ilimchosha chuoni,akuna jipya atakalolifanya bila maelekezo wa Bosi wake!
Wwe unaesema kwamba Gwajima anadaiwa na Benki nadhani unaumwa akili,Gwajima anaweza kulisha ukoo wako mwaka mzma kwa safaka ya mwezi moja tu,usiongee kama punguani bn!
Siro anatekeleza maahizo ya Makonda lakini nadhani tuache siasa za chuki za kukomoana na ni vema tukaheshimu Demokrasia tuloachiwa na viongozi wetu waliopita!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.