Recent content by Jaramoggi

  1. J

    Rais Kenyatta Afunga Campaign Kwa Maombi, Kalonzo Kwa Chuki

    Acha ujinga kama hujui siasa kaa kimya usilete siasa za maji taka za TZ Sent using Jamii Forums mobile app
  2. J

    RFA kifuteni kipindi cha magazeti asubuhi

    Wamepewa onyo na waziri mropokaki Mwakyembe kawaambie wasome vichwa vya habari tu ili magazeti yauzwe na wadau!
  3. J

    Wanafunzi 50% wafutiwa usajili wa master's UDSM: kulipa 2 - 5mil; kisa waziri Ndalichako & Kairuki

    Vuneni mlichopanda tuko mapunguani mno kwa kifikiri acha tusote wote!
  4. J

    Naamini, Mrithi wa Kinana akiwa Dr. Bashiru Ally, CCM itakuwa imara

    Hivi nchi hii bado unatudanganya na ujamaa,wadanganye vipofu!
  5. J

    Kwa hotuba hii ya Lissu, Prof. Kabudi ana mtego wa kuikana nafsi yake na maandishi ya taaluma yake

    Tundu Lisu unaangaika na hao Kabudi keshaingia kwenye zizi la hao jamaa ataziba masikio yake mpaka mtamshangaa,zile kelele zake za zamani ilikuwa ni kusaka tonge tu,njaa ilimchosha chuoni,akuna jipya atakalolifanya bila maelekezo wa Bosi wake!
  6. J

    Bila tija mshahara usiongezwe serikalini

    Wwe ni mweu nenda ukapimwe akili hospitali ya vichaa Mirembe Dodoma!
  7. J

    Je inawezekana kusoma master pasipo bachelor's degree kwa aliyesoma diploma

    Kama gpa yako ni bellow yaani pass au lower ni lazima usome post graduate diploma kozi ya mwaka mmoja then unaruhusiwa kufanya level ya master!
  8. J

    Mlipuko:Dr. Gwajima kutikisa pande zote za Tanzania kesho

    Wwe unaesema kwamba Gwajima anadaiwa na Benki nadhani unaumwa akili,Gwajima anaweza kulisha ukoo wako mwaka mzma kwa safaka ya mwezi moja tu,usiongee kama punguani bn!
  9. J

    LHRC kuipinga 15% ya Bodi ya mikopo Mahakamani

    Mimi nasema wawasaidie wanyonge tena watupe na akaunti zao za benki tuwachangie maana huu ni uonevu,huwezi kukata pesa ya mtu bila mapatano!
  10. J

    Ulinzi mkali watanda uwanja wa taifa

    Hizo gharama kubwa wanazotumia wawalipe watumishi na makandarasi wanaowadai kweli siasa mbaya hubomoa nchi,leo nimeamini,kisa Mbowe na Wema!
  11. J

    Steve Nyerere aongea na Wanahabari, amkaanga Wema Sepetu na Mama yake, Wasanii hawaidai CCM

    Mh,wwe steven aliyekutuma kachelewa tena hufai hata kuitwa Nyerere,
  12. J

    Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

    Duh,kama ndivyo hivyo kwanini walikwenda kufanya upekuzi usiku,imekula kwa rpc Siro!
  13. J

    Mh. Rais jiridhishe juu ya vyeti vya Makonda na elimu yake

    Naombeni cv yake au elimu yake ya juu ana master ya nni kwani?
  14. J

    Ujio wa Wema Sepetu na kundi lake ndani ya CHADEMA hauna manufaa kwa taifa

    Wwe mtoa mada hujui siasa bora ungekaa kimya tu,labda nikusaidie bure kuwa siasa inajengwa na watu maarufu,acha ushamba!
  15. J

    Kamanda Sirro: Mbowe jisalimishe Polisi; Masogange, Chid Mapenzi, Wallis Nasher tumewakuta na madawa

    Siro anatekeleza maahizo ya Makonda lakini nadhani tuache siasa za chuki za kukomoana na ni vema tukaheshimu Demokrasia tuloachiwa na viongozi wetu waliopita!
Back
Top Bottom