Kalamu Yangu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 1,110
- 1,077
Hahaaaa! lakini na sie Simba tumezidi ukorofi hatutaki goli la mkono.....Ni kuminya uhuru wa kujinafasi.
Hahaaaa! lakini na sie Simba tumezidi ukorofi hatutaki goli la mkono.....Ni kuminya uhuru wa kujinafasi.
Tatizo la hao polisi mpira ukianza na wao wanakua watazamaji.
Wanalinda kadi na bendera zisichomwe? Kwa nini waliwasearch mfukoni? Hata wasipovichoma physically je mioyoni? Solution ñi kutenda haki tu na kuacha ubabe usio na maana yoyote ileSijawahi kuona hali hii simba na yanga zikicheza, ni kama kuna shughuli za kisiasa.
Vifaa hizi huwa vinapatikana wakati wa uchaguzi
View attachment 474344
TFF inasema kuna askari zaidi ya 350 na camera zaidi ya 40 kusimamia ulinzi
Lowasa anaenda mpirani leoSijawahi kuona hali hii simba na yanga zikicheza, ni kama kuna shughuli za kisiasa.
Vifaa hizi huwa vinapatikana wakati wa uchaguzi
View attachment 474344
TFF inasema kuna askari zaidi ya 350 na camera zaidi ya 40 kusimamia ulinzi
Alokwambia hakuna siasa kwenye mpira ni nani? Kwa vile mmewazuia kufanya mikutano halali ya dharura watafanya lolote kwani tayari ni sugu. Refer Sarafina ya Soda AfrikaSafi kabisa,tunataka mpira sio siasa
KwiiiiiiiiishaaaaaaaaaNampa pole sana Magufuli. Atamaliza miaka yake with nothing gained but blames kama hata tumia brain kuendesha hii serkal.
Cdm ni zaidi ya ccmHapa wanazidi kuwapa umaarufu Wakina Lowasa, Mbowe na Wema.
Hasa kuendelea kuzungumzwa mitandaoni
Ni hapo atakaposhindikana Mithali 28:16 na kuielewaNampa pole sana Magufuli. Atamaliza miaka yake with nothing gained but blames kama hata tumia brain kuendesha hii serkal.
Of course. Ni lazima wafanye hivyo kwa vile wanaogopa muziki waoHapa wanazidi kuwapa umaarufu Wakina Lowasa, Mbowe na Wema.
Hasa kuendelea kuzungumzwa mitandaoni
fact, sio kama wale wa kwenye uefaTatizo la hao polisi mpira ukianza na wao wanakua watazamaji.