Recent content by Janma

  1. Janma

    Nitajie wasanii wawili Tanzania ambao ni genius sana

    Dizasta vina Leonardo wa cheka tu Chid benz Nikki mbishi Fid Q Hiphop na comedian kidogo ndo kuna vichwa
  2. Janma

    Naona Toxic kaamua kumtolea uvivu Young Lunya

    Rapcha na toxic wapi na wapi
  3. Janma

    Naona Toxic kaamua kumtolea uvivu Young Lunya

    Rapcha na toxic wapi na wapi
  4. Janma

    Hili nimeliona sana tu kwa Walinzi wa Majumbani sehemu mbalimbali je, ni sahihi Kiulinzi au wanahitaji Msasa zaidi?

    Kule kwetu nilikatiza usiku saa saba hivi kwenye hoteli fulani nikakuta walinzi wa sehemu zingine karbu wapo wote na redio na jiko la mkaa wanachoma mahindi cha ajabu walinikalibisha pia yaani hawaulizi unafanya nn usiku wao wanaangalia sura tu
  5. Janma

    SoC04 Tanzania ya baadae: Kuelekea Mfumo Bora wa Elimu ya Ufundi Tanzania

    kama nchi nyingine nyingi, Tanzania inakabiliwa na changamoto za kimfumo katika mfumo wake wa elimu. Kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi na teknolojia, kuna haja ya kuboresha mfumo wa elimu ili kukidhi mahitaji ya sasa na ya baadaye ya taifa hili. Moja ya njia ambazo Tanzania inaweza kutumia ni...
  6. Janma

    Msanii mpya wa WCB (Zuchu) ni sifuri

    Ogopa Mungu Na teknolojia Huu uzi utasuswa kama mingine iliyowahi kupita mda utaongea Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Janma

    Aliyejenga Nyumba Mpaka wa Tanzania na Kenya Afunguka.

    msamehe asee Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Janma

    Nimefanikiwa kuingia Gamboshi - True Story

    wageni wa JF utawajua tu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Janma

    Hivi hawa Tecno mnawaelewa?

    yaah hata me natumia hyo iko vizuri hizo kelele sijui huwaga kwenye simu zipi za tecno Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Janma

    Matangazo ya Kamari yapigwa marufuku kwenye runinga na radio

    Tatu mzuka Biko Supa tano Moja spesho Insta moja Sport pesa Na zinginezo Zote znataka airtime mpk ikawa kero Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Janma

    Unaweza kuwa Cameraman Mkubwa

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom