Kule kwetu nilikatiza usiku saa saba hivi kwenye hoteli fulani nikakuta walinzi wa sehemu zingine karbu wapo wote na redio na jiko la mkaa wanachoma mahindi cha ajabu walinikalibisha pia yaani hawaulizi unafanya nn usiku wao wanaangalia sura tu
kama nchi nyingine nyingi, Tanzania inakabiliwa na changamoto za kimfumo katika mfumo wake wa elimu. Kuzingatia mabadiliko ya kiuchumi na teknolojia, kuna haja ya kuboresha mfumo wa elimu ili kukidhi mahitaji ya sasa na ya baadaye ya taifa hili. Moja ya njia ambazo Tanzania inaweza kutumia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.