As military expert,nikutoe shaka kwa hilo,nchi ina makomando wa kutosha na mpaka unavyoandika uzi huu,kuna takribani askari mia3 wako kozi hizo sehemu tofauti duniani na wanahudumiwa na serikali hii unayotilia shaka nayo. Chuo cha Ngerengere ni sehemu ya kambi yao ya mafunzo na mengineyo ambayo...
Kama unapenda kujichanganya,ingia Pin Point kuna lodge upstairs room f20,jirani yake ipo Florida Annex room f25. Kama una gari,unaweza kwenda Florida kwa mrefu km6 toka mjini kati bei f25,kwa mjini nenda makao mapya chenille f25
Kufukuzwa hovyo askari, nahisi kutakuwa kunachangia kwa kiasi kikubwa na mbaya zaidi fukuza ya uonevu.
Polisi hasa wakubwa wamekuwa miungu watu na wanachosema na kuamua ndio cha mwisho ilhali miongoni mwa maafisa sio waaminifu kama baadhi ya askari wadogo.
Sipati picha kwa mtu ambaye ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.