Nyumba za wageni Arusha

Nyumba za wageni Arusha

Limpopo guest house......
Masabeda guest house.......
Ngiwaranecha guest house.......
Mashele guest house........

Niendelee.....?.......

Duh!!....unavyozijua sasa,hii si bure, lazima kuna kitu!!
 
Habarini wadau,

Weekend ijayo natarajia kuwa Arusha.Naomba anaefahamu nyumba za wageni za bei nafuu na zaidi sana zenye usalama anijuze zilipo.

Nawasilisha.:typing:
MONJES A,B & C. Ziulizie ziko poa na usalama pia si mbaya sana. Also ni eneo changamfu chakula (chips) any time.
 
Njoo RENA Lodge & Hostel, iko Morovian area,close to Mianzini traffic lights.
Bei ni 25,000/= kwa single room na 50,000/= kwa double room with breakfast.
Rena Lodge & Hostel | Feel at Home


Habarini wadau,

Weekend ijayo natarajia kuwa Arusha.Naomba anaefahamu nyumba za wageni za bei nafuu na zaidi sana zenye usalama anijuze zilipo.

Nawasilisha.:typing:
 
Kuna lodge iko hapo kwa Chavda nyuma ya fire mpya nililala wiki 3 zilizopita bei elfu 15 iko poa sana.
 
Nenda McElly's nyuma ya Benson karibu tu Stand kuu ya mabasi

Hutajutia mbesa yako
 
Hiyo bei iko juu sana,ni size ya hotel za nyota tatu labda,Hata hivyo ni vizuri kujua na ili kulinganisha bei na huduma.

Hiyo ya Sakina nyuma ya Fire iko poa sana.
Nenda kacheki koz iko karibu sana na town.
Ila you are not limited to one choice when all options lie bare before you
 
Kama unapenda kujichanganya,ingia Pin Point kuna lodge upstairs room f20,jirani yake ipo Florida Annex room f25. Kama una gari,unaweza kwenda Florida kwa mrefu km6 toka mjini kati bei f25,kwa mjini nenda makao mapya chenille f25
 
Limpopo guest house......
Masabeda guest house.......
Ngiwaranecha guest house.......
Mashele guest house........

Niendelee.....?.......


Endelea tu, Ila weka na bei bana.
 
Kama unapenda kujichanganya,ingia Pin Point kuna lodge upstairs room f20,jirani yake ipo Florida Annex room f25. Kama una gari,unaweza kwenda Florida kwa mrefu km6 toka mjini kati bei f25,kwa mjini nenda makao mapya chenille f25
Du asante kwa taarifa,BTW wewe ni Jangiri la ukweli? au fix tu! Ha ha.
 
Back
Top Bottom