Recent content by jang

  1. jang

    Natafuta gari ya kufanyia Bolt/ Uber iwe dar au dodoma

    150K kwa wiki, inamaana kwa siku ni almost 21K?
  2. jang

    Wanafunzi wenye IQ kubwa ni wale waliopata division 1 shule za kata hasa vijijini, wana upeo mkubwa wa kusoma bila walimu, tuition, past papers

    Kumzidi GPA chuo sio kigezo kabisa, kwanza mmesoma course moja? Afu hawa waseminari wengi wakifika chuo wanakuwa kama wamezuzuka na mademu plus pombe maana huko shule kwao huwa wanabanwa sana. My take, tafuta hela mwanao asome shule bora na nzuri asiwe anakariri madesa kama wewe
  3. jang

    Nafasi ya Kazi: Muundaji wa Maudhui ya Video na Mbunifu wa Michoro (Video content creator and graphics designer)

    Hela hiyo tunaweza kufanya kazi ila part time na sio full time ofisini. Inawezekana?
  4. jang

    IT and Graphics designer anahitajika

    Mlimpata designer?
  5. jang

    Mimi ni dereva wa tax mtandao yaan Bolt au Uber

    Hesabu unaleta how much per day? Una Mali gani ya kuweka dhamana? Je, nikitaka unikodishie hizo account itawezekana?
  6. jang

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Wapi hapa tuhamie mkuu
  7. jang

    Makadirio ya kenchi na bati

    Si wanasema zinavuja hizi?
  8. jang

    Najuta kuhamia kwangu Kerege

    Kwa mafuriko ya juzi, mara daraja limekatika. Huko sio sehemu ya kukaa kabisaa
  9. jang

    Mtu gani maarufu ni Crush wako?

    Duh [emoji16]
  10. jang

    Samsung TV vs LG TV ipi ni bora?

    Nenda kwa mawakala wao kabisa, yaani wakala wa Samsung au LG
  11. jang

    Sheria za ardhi Makabe, Mpigi Magohe, Msumi, Mbopo Mbunge wa Ubungo na DC mpo?

    Very simple, watanunua mara ya pili kama hutaki unabomoa. Hii case inafanana na ile ya mabwepande ya NSSF
  12. jang

    Nahitaji mkopo sh 1.5 million

    Kama una hati tuwasiliane
  13. jang

    Natafuta gari ya mkataba

    Na sio kwa mwaka ni miaka miwili
  14. jang

    Natafuta gari ya mkataba

    Yaani baada ya miaka miwili na nusu gari inakuwa yako?
  15. jang

    Tuseme ukweli, Gamondi anafeli pakubwa sana Yanga

    Mashabiki wana midomo sana, wakati anampiga el mereikh, azam, simba hakufanya sub zikalipa? Au alikuwa hana mbinu pia. Kocha ashasema hadharani Anataka striker na winga mwenye kasi. Unalaumu nini, pambana na timu yako kesho inacheza kolo wewe
Back
Top Bottom