Siku mpige suprise kwake omba gemu,angalia atakapo toa huo mtandio,utakuta na zile tshirt zote kazikusanya sehemu moja na kuzifunika,ka begi hiv,box,trunk,shangazi kaja etc,lakini sio sehemu ya wazi...,kuna mwanajeshi 1,Daaah nouma sana...Cheyo Tabora alikimbia kambi akahamia shambani kwa demu...