Gari ni matunzo. Namiliki hiyo Nissan X-trail mwaka wa 6. Mwaka jana engine ilisumbua badala ya kuitengeneza nikanunua used kwa 1m pale Ilala, juzi nimetoka shamba mkoani inachapa mwendo kama kawaida.
Nimeona mmeanza kumtumia vizuri Will Smith. Star kama huyo atatusaidia sana kututangaza. Hata majirani wanao tumia mgongo wetu kupata watalii watatulia. Lazima dunia ijue kuna tofauti ya Tanzania na Kenya. Kwenye vivutio vizuri ni Tz na kwenye mawakala wengi wa utalii ni Kenya!!
Ndio maana Africa haipigi hatua. Watawala wako tayari kuona wananchi wanateseka ili waendelee kubaki madarakani. Imagine walizuia maradi wa takataka kwa kuwa Manispaa ilikuwa chini ya Ukawa lakini sasa utafanyika kwa kuwa council ipo chini ya CCM, shame!
Hoja yako ina mashiko sana. Natamani wahusika walifanyie kazi suala hila. Ukiwa na gari zako mbili au tatu na una pata wageni wachache ni vigumu kuweza kulipa TALA $5,000 kwa mwaka. Ila kwa big fish kama Leopard Tours mwenye gari zaidi ya 200 na bookings nyingi kulipa amount hiyo ni rahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.