Kwani wangapi ambao wamebebwa kwenye serikali mpakaleo, wanatuhuma hawatolewi? Jibu hili kwanza bwana mdogo ndipo tukueleweshe hilo la Lisu. Wabunge wangapi wa chama tawala wameingia kimagumashi?
Hujakosea!waziri wa katiba na sheria anatakiwa awe mtu mwenye uelewa na misimamo kwenye mambo ya msingi kama huyu!yule dada yangu kwa mtazamo na mawazoyangu binafsi anapyaya na anaongozwa na watu fulani,hawezi kusimamia jambo au kuishauri vema serikali kwenye mambo ya msingi!
Acheni unafiki!
Gadafi alitupiga kagera!alileta vifaa vya kijeshi, pesa,Makomandoo wengi kwa kuisaidia uganda nduguzetu wengi walikufa nyie mnajua nini?acheni ushabiki wa kijinga!tena sisi hakua na sababu hata kidogo!hilo hamlioni mnaleno jambo tena si dogo!
Mkubwa Rema!Hii ni mipango ya WASHIRIKA WA YULE KAMANDA ALIYETAKA KUCHAFUA JINA LAKO HIVI MAJUZI!NA SI UNAJUA HAWAJAMAA WANA BIFU NA WEWE!
KOMAA TAKE CARE HAWAJAMAA WANAMBINU CHAFU!
Wewe bwana mdogo acha hizo kwa bahati mbaya kabila yangu umeisahau aukwavile sio kubwa?alafu wewe una kaelementi ka ubaguzi!Tanzania ina makabira zaidi ya miamoja kwanini utaje haya tu kama huna matatizo ya akili?Huu sio mda wa kuulizana kabila!eleza mtufulani ana matatizo!
kamaungekuwa mstaarab...
Huyu jamaa ni mpumbavu!mzaririshaji!mshamba!ungekuwa kweli unampenda na ndo mtarajiwa wako usingesema hayo yote!bali ungesema jamani nini dawa ya tatizofulani?usimpotezee dada wawatu mdawake fataki we!
Kama wote ulivyosema!ni sahihi kabisa kwakua najua wajua mbinu gani wenzetu wanazitumia!kam ni mfuatiliaji mzuri wa mambo,kwenye kura za maoni tu ndani ya chama chao wenzetu washakamatana na rushwa!wangekua wapinzani ndio wamefanya mchezoo huu mchafu ungesikia!nashangaa kama unatupima kwa jimbo...
Regia Mtema Dada yangu kaza buti!Tukopamoja!Watanzania wa kirombero, Ulanga, Mvomero na Kirosa tuamke Wakubwa wanamaliza Mashamba!
Dada regina twendeni tukawaelimishe nduguzetu hao watanzania wa maeneo hayo wafahamu hakizao za msingi!
Ritz!
Usiwe na moyo kama wa farao ndugu yangu kama wewe na wengine tunajua mnanufaika na haya yanayotendeka!tuacheni tukomboe wale wengine wanaotaabika !
Plan C ni Kumuomba huyo muheshimiwa ambaye tunasikia kwamba ni mtumishi wa uma aliyeweka vijisenti kama tilioni tatu kule SA ,Atusaidie kidogo maana nasikia ni mbabe aliwahi kututisha kipindi fulani!,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.