<br />kwa hali ilivyo, Igunga inakwenda CUF, CDM wamepokelewa na wafuasi wa CUF kwa wingi wao na hii ni ishara mbaya kwa CDM.
<br />mkuu nipo igunga cuf walizembea tangu mwanzo, kwa uzembe huo walipoteza kata ya mbutu kwa matokeo kugeuzwa na kupewa diwan wa ccm ambaye hakushinda. Baada ya jimbo kutangazwa kuwa huru Mahona ndo amerudi, kumbe hata wasimamizi wake hakuwalipa sh.5000. alizo haidi ndo kuwaita na kuwapa sh.9000, pamoja na riba ya kuwachelewesha! kumbuka kata ya mbutu cuf iliporwa diwani kwa garama ya soda 1!,