Kamati Kuu ya CHADEMA yakutana Igunga

kwa hali ilivyo, Igunga inakwenda CUF, CDM wamepokelewa na wafuasi wa CUF kwa wingi wao na hii ni ishara mbaya kwa CDM.
<br />
<br />mkuu nipo igunga cuf walizembea tangu mwanzo, kwa uzembe huo walipoteza kata ya mbutu kwa matokeo kugeuzwa na kupewa diwan wa ccm ambaye hakushinda. Baada ya jimbo kutangazwa kuwa huru Mahona ndo amerudi, kumbe hata wasimamizi wake hakuwalipa sh.5000. alizo haidi ndo kuwaita na kuwapa sh.9000, pamoja na riba ya kuwachelewesha! kumbuka kata ya mbutu cuf iliporwa diwani kwa garama ya soda 1!,
 
Naskia NAPE yupo nyumbani kwa Mkurugenzi wa usimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Igunga. Lengo ni kupanga mkakati wa kuiba kura na kumtangaza mgombea wa CCM kwamba ndiye atakuwa mshindi siku ya kutangaza matokeo.


Hilo linawezekana sana. Litakuwa ni marudio tu ya kawaida iliyopo. Kwa katiba ya sasa ambayo haina chombo HURU cha kusimamia uchaguzi, ni shida sana kwa CDM kutangazwa mshindi. Kura anapata huyu, mshindi anatangazwa yule.
 
Igunga mizani itawekwa chini, msihofu hakuna wa kuiba kura. Mwisho wa siku mwenye watu atashinda. Peoples power for Igunga.
 
Kila la heri CDM ila Igunga pako tight sana CCM inamtandao wa nguvu uliopumbazwa na RA.

Kinadharia kunauwezekano mkubwa wa wapinzani kugawana kura na kuicha CCM inapeta, Lakini katika siasa anything can happen.
 
Hilo linawezekana sana. Litakuwa ni marudio tu ya kawaida iliyopo. Kwa katiba ya sasa ambayo haina chombo HURU cha kusimamia uchaguzi, ni shida sana kwa CDM kutangazwa mshindi. Kura anapata huyu, mshindi anatangazwa yule.

Wizi utawezekana pale tu kama hakutakuwa na usimamizi madhubuti vituo vya kupigia kura au kama watawekwa wasimamizi wasio madhubuti lkn kwa hili hasa CDM wakitumia uzoefu wa Nyamagana,Ilemela,Arusha na Ubungo wa kulinda kura bac watafanikiwa kuzibiti uchakachuaji
 
Chonde chonde CC tunamhitaji Mwl.Kashindye msije kusema eti mmetumia tena zile fomula za Kitila kitachimbika.
 
Mheshimiwa Regia nakubali CDM mko serious lakini jambo dogo tu huwa tunamalizwa na CCM, mimi ni mzaliwa wa igunga na nimeishi igunga muda mrefu sana kwahiyo nafuatilia kwa karibu mchakato wa igunga tangu kujiuzulu kwa rostam, nawajua wafuasi wa CCM na CDM. weakness ya CDM Igunga hakuna uongozi imara wa CDM, nasema hivyo kwasababu mwenyekiti wa wilaya Majimoto, Kashindye na Pili mnene (amekuwa mwenyekiti wa wanawake wa chadema wilaya tangu kujiuzulu kwa rostam kabla ya hapo alikuwa ccm) walikuwa wakala wa rostam uchaguzi wa 2010.

Majimoto alijitoa kugombea ubunge kwa kupewa fungu na rostam, Kashindye alteuliwa kuhamasisha kura za uraisi kwa jakaya kwa kauli mbiu aliyokuwa anawambia wanaigunga vijijini kuwa DR. SLAA ni fisadi wa mapenzi ili wanawake wasimpigie kura. Pili Mnene amejengewa nyumba na rostam na mpaka sasa anasomesha mtoto wake chuo kikuu. Mheshimiwa diwani wetu wa chadema kwenye vikao vya council anapokea posho anayotoa RA ili kuweza vikao vya madiwani vipitishe matakwa yake kwa remote wakati yeye anakula raha jijini.

Sasa kabla ya kupitisha mgombea wenu kesho mheshimiwa kashindye muhakikishe mmesafisha jambo hilo kwani walimu wote wanajuwa kuwa alikuwa kibaraka wa rostam kufanya kampeni za ccm 2010 sasa wapiga kura wenu watakuwa na imani nae vipi kwasababu wanamtambua kama CCM na kwataarifa nilizo nazo hadi sasa wamekorofishana na DC igunga kwa kuwa wanajuwa kilichofanyika mwaka jana. Na siku chache baada ya kujiuzulu RA, Bashe alivyokuja igunga alimtumia Kashindye kuwapelekea wenyeviti wa kata salamu kutoka kwa rostam na kuwajulisha kuwa yupo nao pamoja fungu alilopewa alimficha boss wake DC na badala yake akatumia gari la ukaguzi na mafuta ya serikali bila kumgawia boss wake fungu.

TUPO NJIA PANDA wanaigunga kwa maana kwamba tutapata bora mbunge kwa maslahi yake mbunge na kuongeza fungu la posho kwenye chama au tunapata mbunge ili kuweza kuwatumikia wanaigunga? NITOE NJIA PANDA KESHO
pamoja na kuwa hii ni heresay statement ambayo mtu makini hatakiwi kuizingatia inabidi ichukuliwe maanani kidogo kwa maana ccm ni wajanja sana wanaweza kumweka mtu wao alafu ikawa simple kwao kushinda
 
Kamati Kuu ya CHADEMA inatajiwa kufanya kikao chake kesho katika jimbo la Igunga.Kikao hicho ni maalum kwaajili ya kupitisha jina la mgombea Ubunge katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kuanza tarehe 7 Sept 2011. Vile vile kikao hicho kinatrajiwa kupitisha mkakati na bajeti ya uchaguzi huo katika kuhakikisha kuwa jimbo hili linachukuliwa na CHADEMA.Dalili zote za awali zinaonesha kuwa jimbo hili kuchukuliwa na CHADEMA.Kutoka njiani Manyoni tukiwa tunaelekea Igunga.Nawasilisha.

Good beginning...
 
Wewe Kanyau !Usiwe na Jazba !Habari ndiyo hiyo nyie fanyeni vikao vyenu vya kupanga mikakati yenu ya jinsi gani mtaweza kupenyeza rushwa kwa wapiga kura wa igunga kama ilvyo ada!
avatar33837_1.gif
 
pamoja na kuwa hii ni heresay statement ambayo mtu makini hatakiwi kuizingatia inabidi ichukuliwe maanani kidogo kwa maana ccm ni wajanja sana wanaweza kumweka mtu wao alafu ikawa simple kwao kushinda

..ndivyo inavoelekea kuwa,ktk mazingira haya ya utawala wa ccm, wapo watu wa kuwaamini but si watu wa caribre ya Kashindye, ccm wanaweza kutumia fedha kununua madiwani zaidi ya sita sembuse mtu mmoja tena mwajiriwa wa serikali wanayoiongoza..!lini ccm wameanza siasa za ustaarabu..? wanayo karata moja tu karata waliyobaki nayo sasa KUNUNUA WAGOMBEA NA KUWAFANYA MAMLUKI..!hawana uwezo wa kushinda uchaguzi kwa hoja! hata wakeshe majukwaani!

Hivi mnawajua waratibu kata wa vijijini nyie? na jinsi wanavyopata hizo nafasi..? kwa anejua Bw. Kasindye is not a person to trust as a material candidate! labda CHADEMA wakiamua kusindikiza uchaguzi wa lgunga
 
Tuko pamoja dada! ,Wajumbe wa kamati kuu hakikisheni mnachagua mtu makini ili chamachetu kipate ushindi mkubwa!
avatar33837_1.gif
 
..ndivyo inavoelekea kuwa,ktk mazingira haya ya utawala wa ccm, wapo watu wa kuwaamini but si watu wa caribre ya Kashindye, ccm wanaweza kutumia fedha kununua madiwani zaidi ya sita sembuse mtu mmoja tena mwajiriwa wa serikali wanayoiongoza..!lini ccm wameanza siasa za ustaarabu..? wanayo karata moja tu karata waliyobaki nayo sasa KUNUNUA WAGOMBEA NA KUWAFANYA MAMLUKI..!hawana uwezo wa kushinda uchaguzi kwa hoja! hata wakeshe majukwaani!

Hivi mnawajua waratibu kata wa vijijini nyie? na jinsi wanavyopata hizo nafasi..? kwa anejua Bw. Kasindye is not a person to trust as a material candidate! labda CHADEMA wakiamua kusindikiza uchaguzi wa lgunga
Asante kwa kuliona hilo CDM ina kazi moja tu ya kumbadilisha huyo asiye mstaarabu awe mstaarabu.
 
Safi sana dada Regia kutuletea hii habari, sasa naamini mabadiliko yamefika Igunga na CDM kwa kuwa ndio chama makini kabisa watalichukua hili jimbo bila shaka. Hongera kamanda Mwikabe kwa kusimamia show.
 
Mwl Joseph Mwandu Kashindye kuipeperusha bendera ya CHADEMA Igunga.Kamati Kuu imempitisha.Kila la heri Kamanda.
 
Kwakuwa kamanda Mwita Mwikwabe pamoja na bavicha wamekuwa igunga kwa muda wa kutosha basi nina imani kwamba ground work imefanyika vizuri na kampeni zikianza basi ni mwendo mdundo hadi mjengoni.
Ninawatakia kila la kheri.

Please huyu jamaa is good,lakini mkiwa nae mshaurini aache pombe
zitamuumiza sana na zinaweza kumfanya asifikie malengo yake,......

Alicho fanya Tarime mwaka jana bado ni gumzo hado leo
All the best huko Igunga
 
Mwl Joseph Mwandu Kashindye kuipeperusha bendera ya CHADEMA Igunga.Kamati Kuu imempitisha.Kila la heri Kamanda.
Tunashukuru kwa taarifa afadhali nyie mmekubali chaguo la wana Igunga nasikia CCM Igunga wameletewa jina la Kafumu toka Lumumba.
 
Please huyu jamaa is good,lakini mkiwa nae mshaurini aache pombe
zitamuumiza sana na zinaweza kumfanya asifikie malengo yake,......

Alicho fanya Tarime mwaka jana bado ni gumzo hado leo
All the best huko Igunga
Good observation... anything else apart from this..
 
Mkuu,
wala usihangaishe kichwa, huyu mwenzetu sometimes ni very controversial.
Umesababisha nikumbuke utata wa misimamo yake tangu alipokuwa akituelezea habari za mgomo wao UD siku za nyuma.
Maelezo yake mengi yalikuwa ndivyo sivyo!! huyu ndugu ni lukewarm
Muhimu kwa wapambanaji ni kusonga mbele tuu.

Mara nyingi retreat is not Ignorance na sio sign ya weakness,...
Hata kwenye movies tunaona ili umshinde adui lazima sometimes u-salende kwenye kambi yake
then from ndani ndo utajua jinsi ya kupigana nao.

Chadema haina nguvu Igunga,sikatai kwamba wasisimamishe mgombea maana
wakisimamisha ndo itakua mwanzo wa chadema kuanza kufahamika vyema huko.

Lakini ukweli ni kwamba chadema kushinda Igunga kwenye huu uchaguzi mdogo
ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano ila kushiriki kwao Igunga ni maandalizi
mazuri ya 2015.

Kama ni kweli chadema inakubalika Igunga kama alivosema sis.Regia na "mamia" waliwapokea
basi usingekawia kuona picha hapa,....trust me.

Anyway,i wish them the best katika maandalizi ya 2015 sio saivi,.....
i still stand on my bet kwamba chadema will rank number 3 kwenye huo uchaguzi
nyuma ya CCM na CUF,......

Lets be realistic kidogo
 
Back
Top Bottom