zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
usicheze na nguvu ya umma, utaaibika kijana.
Huo umma uliomchaguwa JMK na RA huko Igunga umeusahau? mlikuwa wapi siku zote?
usicheze na nguvu ya umma, utaaibika kijana.
Kwako shida ni kushika madaraka au kucreate awareness? Keep on groaning!Ikiwa huo ndio mtazamo wenu, hamtoshika madaraka ya hii nchi ng'oo!
Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
Kwanza jina lako lina makosa ya kiufundi!
Lakini pia , who are you by the way, kiasi uone kuvaa magwanda itakuwa issue kwa jamii?
<br />Fanya hishima na adabu ni kipi kibaya alichokiongea? hiyo ni changamoto kwa magwanda. Hata FF alisema humu cdm ikishinda Igunga anahamia huko.
Well Said, in Addition, Mkwe.re naye Mwizi....Sasa sijui huyo Bweg.e Ngwendu anasemaje<br />
<br />
msekwa nae ni mwizi sasa huko magambani nani msafi? ndo maana alishindwa kuwapa barua mapacha watatu.
<br />Hivi nani kawaambia ufisadi wa CCM ni kigezo cha kuchagua upinzani?
<br />Mimi, kama 'President Elect', niko tayari kuvaa gwanda endapo CHADEMA kitafanikiwa kushinda uchaguzi mdogo, jimbo la Igunga.<br />
<br />
Hii ni changamoto kwa CHADEMA na wapambe wao hapa JF, ambao macho na masikio yao yanafuatilia uchaguzi wa Igunga.<br />
<br />
Jimbo la Igunga ni karata dume, ambayo CCM wanayo mikononi mwao. Kazi kwenu CHADEMA kuwapokonya, na kama mtafanikiwa, basi na mimi nitavaa gwanda, kama ilivyo kwa mh. Freeman Mbowe au mh. Zitto Kabwe. Nasema tena, kazi kwenu CHADEMA!
<br />Magwanda yana joto hayo balaa! Kwa dar ukivaa utayavua mwenyewe! Ni makombati ya mgambo yale labda uwe na gari yenye AC!
Gurudumu huwezi kuingia uchaguzi wowote bila kuwa na hot issue ya kuuza, ninavyoona mimi kwa sasa hot issue ya kuuzika rahisi ni ufisadi, bila kuficha hoja ya ufisadi ndiyo iliyompandisha Slaa na Chadema ndio maana CCM mwaka jana waka-risk baadhi ya wabunge wao ili waiteke walijua inalipa, wengi kama si wote walio-risk sasa ni manaibu waziri au mawaziri kamili.Hivi nani kawaambia ufisadi wa CCM ni kigezo cha kuchagua upinzani?