Kuna wengine wanakimbia majukumu ya nyumbani, kuna wengine hawataki makelele ya mke wake. Kuna wengine wanamkwepa mwenyenyumba wao. Kuna wengine wanawakwepa waliowakopa.
Hata mimi kabla sijaanza kujitegemea nilikuwa nawahi kuondoka home na kurudi mida mibovu. Ila sasa nipo kwangu, kazi zikiisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.