Prison warned for disobeying court order on Sethi’s health
THE Kisutu Resident Magistrate’s Court in Dar es Salaam yesterday warned the prosecution and prison authorities for disobeying its orders requiring them to take to Muhimbili National Hospital (MNH) for treatment prominent businessmen...
Dah! Siasa zikitumika katika uendeshaji wa kesi kama hizi, kamwe hatutapata jibu kamili kuhusu nani alihusika kufanya nini katika sakata hili ambalo linaonekana litawasomba wengi. Kikubwa ni kwamba kama viongozi wetu wanayo nia ya dhabiti ya kuyamaliza mambo haya, basi waziache vyombo husika...
Wanajamvi, naomba kuleta kwenu mada hii ambayo ninafahamu kuwa itapata wachangiaji wenye mitazamo hasi na wengine wenye mitazamo chanya, ukizingatia mitazomo iliyojengeka miongoni mwa wanajamii kuhusu muhusika mkuu katika mada hii.
Mimi binafsi nimebaki kujiuliza maswali mengi kuhusu...
Jina la shule ni International School of Tanganyika (IST).
Ndugu wana JF, naona wengine wanashabikia tabia hii ya ubaguzi. Mimi binafsi sikatai kwamba ni mweusi. Ila, isifike hatua ambapo uweusi wangu unatumika kama kigezo cha kininyima haki fulani, au kunifanyia kitu kitakachoniathiri...
Uamuzi wa aina ya shule mzazi angependa kumpeleka mtoto wake, inatokana na sababu nyingi. Mimi kama mzazi, kwa uelewa wangu, niliamua kumpeleka mwanangu katika shule ya kimataifa ili apate elimu kwa ajili ya uelewa wa mambo mbalimbali ya kimataifa (education for international understanding)...
Tanzania prides itself with various cultural communities living together in harmony. This is a trait which was not achieved overnight. Our founding fathers of this nation worked very hard to inculcate this trait in the hearts of various communities.
Surprisingly, there are individuals who have...
It is scary to see how students/pupils are suffering in silence in the hands of heartless international school staffs whom instead of molding our children to be good future leaders, they plant in them the seed of racial discrimination.
As parents, we choose to take our children to international...
KAMPUNI inayojulikana kama Hanspaul Automechs Limited (HAL) iliyopo Arusha imekuwa ikifanya kazi nchini kwa takriban miaka nane sasa bila kuwa na idhini ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS).
HAL ilianzishwa mwaka 2007 ikijishughulisha na utengenezaji na uuzaji ndani na nje ya nchi mabodi ya...
Mimi nafikiri tusiwe wepesi wa kulaumu tu bila kudadavua sababu za Serikali kuchukua hatua kama hii. Tusiwe watu Wa kulishwa tu the negatives kisha tukakubali kufurahisha nafsi ya mwingine.
Zitto kama msomi na kiongozi anaeaminiwa na wafuasi wake wengi angepaswa kutuambia kuwa kubadilishwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.