Magazeti mengi yanaandikwa ili kutangaza matukio tu, na sio kuchambua kwa kina au kufumbua macho watanzania juu ya mambo fulani chini ya carpet.. Hii yote ni kutokana na vitishio kuogopa Fungiwa
Daaah!! chunga kauli zako mkuu unakuwa nawe kama mtu anae ropoka vile bila kufikiri , usiruhusu speed ya mdomo kuzidi uwezo wako wa kufikiria jambo na kutoa stupid factoids
Athari yake ni kubwa sana, japo wao nahisi wanadhani hili suala litatoweka kama upepo vile wanashindwa fikiri nini kitakacho jengwa na hao anao watusi maana anawachukulia kuwa hawawezi ingia katika system ya elimu that means watabaki uraiani nini mwisho wao utakuwa na jamii gani itajengwa...
Daaaah mkuu kwa maelezo uliompa anaweza ishia nunua PC iliyo pigwa msasa tuuuu... hayo maelezo ungetoa kwa ambaye ni Pro or Expert tayari ila sio kwa #Beginner
Daaaah mkuu kwa maelezo uliompa anaweza ishia nunua PC iliyo pigwa msasa tuuuu... hayo maelezo ungetoa kwa ambaye ni Pro or Expert tayari ila sio kwa #Beginner
Laptop inategemeana na màtumizi yako km unajua utakuw na matumizi nayo mazito chukua either Dell or HP ambayo RAM sio Chini ya 2Gb na Bit Operating System => 64
malengo yake na matendo ni vitu vinavyo pishana anakusudia jenga Tanzania iliyo na usawa na mwishowe anaishia Bomoa Tanzania na kuweka matabaka "VILAZA++"
Watu wengi hupenda liona tunda likiwa tayari limekwisha wiva kwa kula na kulipaparikia , wanakosa fikiri na kujenga hoja ni namna gani wanaweza fanya mpaka waweze fika hatua ya kuchuma tunda likiwa limewiva kwa jitihada na nguvu zao wenyewe. Katika maendeleo ya jamii yoyote daima kunakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.