pamoja mkuu nimekupata,ntarefer humu siku nikitaka kununua laptop mya,maana hii nilionayo ishachokachoka.mkuu post ya kwanza nimerahisisha kabisa chagua generation ya kisasa then probability ya hio computer kuwa nzuri nayo ni kubwa.
mfano laptop za i3 6100u na i5 6200u zote zinapatikana around 600,000 hadi milioni 1 hizi automatic zinakuwa laptop nzuri kwa matumizi ya kawaida na ukicheki specs zake utakuta automatic ni nzuri ram itakuwa 4gb kupanda na ni ddr4 au ikiwa ddr3 basi speed itakuwa nzuri, hdd itakuwa na ukubwa wa kutosha na mambo mengi yatakuwa mazuri.
sijakuelewa mkuu unamaanisha hizo processor mpya zinapatikana kwenye computer za apple ambazo bei zake ni sawa na shamba?
zipo pia processor za skylake ambazo zinapatikana kwenye computer za bei za kawaida kama i3 6100u
bei za ddr4 ni sawa tu na ddr3 zamani ndio zilikuwa ghali ila sio sasa hivi hii inatokana na demand kubwa ya skylake.Hapana mkuu, nilimaanisha RAM za ddr4..
Mkuu ikiandikwa version 6.1.7600 humaanisha nini?bei za ddr4 ni sawa tu na ddr3 zamani ndio zilikuwa ghali ila sio sasa hivi hii inatokana na demand kubwa ya skylake.
hizo ni namba tu za kutofautisha matoleo.Mkuu ikiandikwa version 6.1.7600 humaanisha nini?
Sasa utajuaje kuwa ni ddr4 or 3? Je model hii ni nzuri? Intel (R) core (TM)i3-2330M?hizo ni namba tu za kutofautisha matoleo.
mfano kitabu cha eric shigongo kinaweza kuwa na toleo la kwanza, la pili, la tatu etc
kwenye software nako ni hivyo hivyo kunakuwa na matoleo tofauti tofauti na kila toleo jipya huongezwa mambo mapya na kuzidi kuwa zuri.
ndio kwa matumizi ya kawaida ni nzuri na hio ni ddr3 ram zakeSasa utajuaje kuwa ni ddr4 or 3? Je model hii ni nzuri? Intel (R) core (TM)i3-2330M?
Ahsante sana mkuu"Chief-Mkwawa, post: 16409800, member: 44606"]ndio kwa matumizi ya kawaida ni nzuri na hio ni ddr3 ram zake
mkuu vipi hizi processor za intel centrino zipo kundi gani? ninayo T7300 emb ichambue kwangu iko poa ila nkitaka kuifanya ishee internet inakataa inasema inataka wi fi card kama sio adapter sikumbuk. nlidownload app moja inaitwa host wifi sikumbuk vizur hiyo adapter ntaipat wapi?bei za ddr4 ni sawa tu na ddr3 zamani ndio zilikuwa ghali ila sio sasa hivi hii inatokana na demand kubwa ya skylake.
hizo ni za zamani sana kabla hata hizi generation hazijaanza. na inawezekana hio laptop ikawa haina wifi kabisa hadi ununue nyengine ueke, pia inawezekana ikawa ni driver tu. nitajie full name ya laptop nikuangalizie kama driver na kama unataka kununua wifi itabidi utafute kitu kama hikimkuu vipi hizi processor za intel centrino zipo kundi gani? ninayo T7300 emb ichambue kwangu iko poa ila nkitaka kuifanya ishee internet inakataa inasema inataka wi fi card kama sio adapter sikumbuk. nlidownload app moja inaitwa host wifi sikumbuk vizur hiyo adapter ntaipat wapi?
mkuu kama zote zipo generation moja ujue speed yake inatokana na ghz, yenye ghz kubwa ndio itakayokuwa na speed zaidi, na zote zinakuwa na core mbili (dual core)
mfumo wa processor za celeron na pentium unafanania na i3/i5/i7 ikiwa hizo processor zipo kwenye core family. kwa laptop inamaana either itaishiwa na m kwa mbele au U
-zinazoishiwa na M mbele TDP (umeme) ni watt 35
-zinazoishiwa na U mbele TDP yake ni watt 15
hizo za M zinatumia umeme mkubwa na perfomance ni kubwa na hizo na hizo za U zinatumia umeme mdogo na perfomance ya kawaida,
mfano wa pentium na celeron za M ni kama
-pentium 3550M
-pentium 3560M
-pentium 2020M
-Celeron 2950M
-Celeron 2970M
mfano wa pentium na celeron za U ni kama
-celeron 3205U
-celeron 3215U
-pentium 3805U
-Pentium 3825U
kiufupi celeron na pentium za core zinakuwa ni kama i3/i5 na i7 sema hazina tu hyperthread (kasoro pentium 3825u)
hizi zina nguvu kufanya mambo mengi hata games zinahimili kiasi.
ukija kwenye pentium na celeron ambazo zinatokana na atom hizi zinakuja na computer zote mpya za bei rahisi kwa sasa. ukienda madukani kununua pc za laki 5 ujue asilimia 99% zitakuwa ni hizi. perfomance yake ni ndogo kama simu vile ila hukaa sana na charge na zipo nyengine zina hadi memory za simu (emmc) badala ya HDD. mimi ninayo moja inakaa na chaji masaa 17 kama unasomea tu bila kuingia online, na inakaa hadi masaa 10 kama unakuwa online.
hizi huanziwa na herufi N mfano kama
-celeron N3050
-pentium N3700
hivyo kuconclude hapo Ukiona processor ya celeron au pentium kwa mbele inaishiwa na U au M ujue ni family ya core sawa na i3/i5 na i7 na ukiona imeanza na N ujue ni atom
kama unataka computer ya bei rahisi inayokaa na charge nunua inayoanza na N ila itakuwa haina nguvu hio computer na kama unataka laptop nzuri ya bei rahisi yenye nguvu tafuta Pentium inayoishiwa na M
Mkuu nakumbuka nishawahi kusoma mahali kwamba M inasimama kwa ajili ya mobile hivyo ipo kwenye notebooks pekee ambazo zimelengwa ziwe na power backup nzuri zaidi. Hivyo nimepata mkanganyiko kidogo kuhusiana na ya hio Prefix!
Kiongozi, nichekie na mimi specs za hii laptop, dell latitude 5020 (kama sijakosea.)ndio kwa matumizi ya kawaida ni nzuri na hio ni ddr3 ram zake
Kiongozi, nichekie na mimi specs za hii laptop, dell latitude 5020 (kama sijakosea.)
hizo ni za zamani sana kabla hata hizi generation hazijaanza. na inawezekana hio laptop ikawa haina wifi kabisa hadi ununue nyengine ueke, pia inawezekana ikawa ni driver tu. nitajie full name ya laptop nikuangalizie kama driver na kama unataka kununua wifi itabidi utafute kitu kama hiki
![]()
vinapatikana around 10,000 hadi 30,000 unachomeka tu kwenye port ya usb na computer yako inakuwa na wifi.
ni hp compaq 6910p with window vista, centrino vPro, energy star processor ni Core(TM) 2Duo Cpu T7300 2.0GHz.
ndo hiyo mkuu vipi inaweza ingia window8 maana nlipata kaujumbe niweke window10 nkaoga maana hawa wafanya biashara waongo pia iko fasta sana na inachoma kwa kweli na sauti kubwa sana ya kale kadude kakizunguka ku cool pia ina ddr2 ram 1gb kama 60gb hivi hdd
Hivi mkuu laptop za lenovo thinkpad zina kitu gani cha ziada mbona ghali sana?wifi inayo cheki driver hapa.
Drivers & Software for HP Compaq 6910p Notebook PC - HP Support Center.
kuhusu kueka windows 8/10 inawezekana sababu pc yoyote ya vista inakubali hizo os ila sikushauri sana kueka sababu ya support ya driver itakuwa hakuna utasumbuka.
hivyo kuheat ni kawaida kwa mashine ya core 2 duo hasa kama yako yenye watts 35 hakikisha tu uwe unaieka mazingira mazuri yenye upepo ili isijibane sana