Natamani kuwa Mkenya

Natamani kuwa Mkenya

Nyie ni vijana ambao mmekata tamaaa siku ukibahatika kuwa mknya utasema jambo jipya kbsa unataman kuwa mwanamke ukifanikiwa na hilo utasema unatamani kuwa kahaba nk
 
Unatuzuga unataka kuwa mkenya wakati unataka upitie kenya ili ujiunge na Alshabaab..
 
Mbona mnamshambulia na kumtukana mwenzenyu for airing his opinion? mnafaa kumuuliza maswali ili angalau mjue mbona alitoa kauli ile.
 
Ni week ya pili toka nitoke Kenya, vitu nilivyoviona huko sitamani hata kuwa mtanzania. Watu wako serious bwana, kuna barabara za juu kila kona pia wanajenga railway ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.

Duh! akina MOTOCHINI hawajapitia huku, ungekua umetusiwa hadi ukome.
 
Last edited by a moderator:
Nyie ni vijana ambao mmekata tamaaa siku ukibahatika kuwa mknya utasema jambo jipya kbsa unataman kuwa mwanamke ukifanikiwa na hilo utasema unatamani kuwa kahaba nk
Cc: MK254
 
Last edited by a moderator:
kweli hali ya UTAIFA haipo kwetu tutazid kuwa kama Kuku hatuna mwelekeo acha upuuzi wewe hamisha na ukoo wote basi
 
kui Iko siku utanielewa tu, mimi kwa kweli huwa sipendezwi na nchi yenu kuwa nyuma, kila nikija Bongo huwa naziona fursa nyingi sana ambazo nyie mumeziacha wazi na kulalamikia serikali kila siku. Wakenya wengi huwa tukija tunazichangamkia na kusepa. Nchi yenu imebarikiwa pakubwa na kila kitu, ila kwa utendaji mpo nyuma sana.

Unakuta Mtanzania analalamika eti rais Kikwete kawadanganya kuhusu maisha bora kwa kila Mtanzania ambayo hayapo, ila Mkenya akija huwa anaona hiyo fursa ya maisha bora kwa kila mtu na anaichangamkia. Serikali haiwezi kukuwekea chakula mezani, ni jukumu lako wewe kujipikia na kujipakulia. Kwetu Kenya tunafunzwa jinsi ya kuwa mgomvi (aggressive) tangu utotoni, tungelegea kama nyie yaani tungekufa zamani maana nchi yetu asilimia 80% ni kame tupu na hailimiki.

Wabongo mmezoea nyimbo na vijisababu vya uswahilini, mara eti IDD Amin, Kegara war iliwafanya mlegee, Tanzania potential, Wazungu waliwasaidia Wakenya n.k. Ngonjera na utepetevu mwingi tu, kama ni ufisadi hata sisi tunao, kama ni uongozi mbaya hata kwetu ndio usipime.

You deserve a cookie present for this nice reply,well put mkeii
 
Last edited by a moderator:
Ni week ya pili toka nitoke Kenya, vitu nilivyoviona huko sitamani hata kuwa mtanzania. Watu wako serious bwana, kuna barabara za juu kila kona pia wanajenga railway ya kisasa kutoka Mombasa hadi Nairobi.

Sisi watanzania sijui tumelaaniwa nini jamani.

tamani na ndugu zako kuuliwa na Alshabaab, na wewe kuwa Mkabila
 
huwezi kuwa Mtanzania wewe.. kama nasema uongo nionyeyshe alama ya ndui kwenye mkono wako.
 
last week nimempokea rafiki yangu mkenya toka nairobi.ni graduate wa Kenyatta university.kaja tanzania kujaribu bahati yake ya kusaka maisha bora.akaniambia hana hamu na maisha ya kenya ya kukosa ajira.
kilicho muuma ni kwamba pale boda ya namanga,amegonga week moja wakati lengo lake ni kuishi bongo mda mrefu.nikamwambia aondoewe shaka.kapata rafiki "born-town" mtz.kila kitu kitaenda sawa.
MK254.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom