Bhanunu huyu jamaa
Molembe hajatumia akili yake kwa ufasaha, kama angejua hao Warundi vita imeshawaathiri kwa kiwango gani, na hao anaowaona ni wanaume leo, miaka ya 1993 wakati wa mauaji ya hatari ndo kwanza walikuwa watoto, wakapotezana na familia zao, wakapoteza rasilimali zao pamoja na wazazi wao kuuawa mbele ya macho yao, asingesema.
Halafu ajue anapojimwaga JF,Twitter, FB, Airtel, sijui radio gani, kule Burundi hayo yote yamefungiwa. Hao wanaokimbia hawana full information kama alizonazo, wao wanasikia watu wanauana Bujumbura tu, sasa kwa nini wasikimbie?
Kikwete kasema ukipewa akili changanya na zako. Molembe Jiongezee akili kidogo inaonekana umeshiba, mind you sijakutukana ila nimekushauri tu, hakuna anayependa kuwa mkimbizi asilani.