Hapa sasa ilitakiwa uje na maelezo kufafanua kipi amepigwa na ilipaswa iwe vipi.
Tofauti na hapo umeamua tu kwa makusudi kumkatisha tamaa jamaa asitoe taarifa ambazo zingesaidia wengine.
Na hii tabia wanayo sana mafundi wetu, wanaficha taarifa ili waweze kupiga watu kirahisi
Hilo linawezekana.
Kama baadhi ya mataifa makubwa yanaanzisha vita katika nchi nyingine ili wananchi wao na makampuni ya nchi zao waweze kufanya baishara ya silaha. Inashindikana nini mataifa hao kuhujumu baadhi sekta zetu kwa kupitia viongozi ili nchi zao ziendelee kufanya biashara. Ikiwemo...
Ilikua shule moja mkoani kilimanjaro , niliahamia pale nikiwa form 5 . Nikakaribishwa na jamaa yangu mmoja niliesoma nae o level mkoani dsm. Akanitafutia chaga tukaweka kwenye kitanda nikawa nakaa nae room mmoja, kwenye hiyo room nilikutana na jamaa wengine wawili kutoka dsm,na mmoja kutoka...
Wachambuzi wa mambo ya kisiasa hawana tofauti na wachambuzi wa mambo ya mpira, yani timu ifungwe ama ishinde hayatakosekana ya kuongelea kwenye hiyo mechi.
Mkijitoa nyinyi mnaolalamika mama anateswa kisa amehudhuria hapo dodoma, wangekuja wengine kulalamika kama asingekuwepo hapo leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.