Recent content by Jackyten

  1. Jackyten

    Naomba kufahamishwa shule nzuri sekondari private kwa mkoa wa Shinyanga na Mwanza

    Msaada ndugu nataka kufahamu shule za private ambazo zinafanya vizuri kwa kidato cha nne ila ziwe katika mikoa ya Mwanza na Shinyanga ada isizidi 1,500,000/=
  2. Jackyten

    Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

    Kusahau ni ugonjwa, Unawezaje kusahau masuala ya msingi.?
  3. Jackyten

    Natafuta bata (bukini)

    Natafuta bata aina ya bukini nataka kununua mwenye nao au anayefahamu sehemu walipo tujilishane.
  4. Jackyten

    Majukumu ya kawaida ya nyumbani Raisi Magufuli akiwa mapumziko.

    Ndio, sema yeye alikua anaenda kula bata ulaya na Marekani. Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
  5. Jackyten

    Hivi weupe ndio urembo au?

    Kwetu usukumani weupe kwa mwanamke ni dili hata dau linapanda. Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
  6. Jackyten

    Serikali ya Rais Magufuli inatisha, vinara wa IPTL hawakupata hata ‘tip-off’!

    Sasa hapo ndo hatujui kama aliambiwa nini mwanamke na maofisa usalama.
  7. Jackyten

    Naomba updates za Interview ya TANESCO

    Na kama umesajiliwa lakini hujapata certificate???
  8. Jackyten

    Waliopinga Wanyama asipewe mtaa walisema si uzalendo, Je Gor Mahia nao si wazalendo kwa kumpa Magufu

    Wanyama kafanya kitu gani cha ajabu?? Kucheza spurs!!!! Magufuli nani asiyemjua Afrika hii kwa juhudi zake kupambana na wahujumu uchumi hata south atapewa mtaa, lakini kwa nini hasa wanyama kafanya kitu gani hasa!!! Kachukua hata uchezaji bora was Afrika!??? Haya miaka ya badae mwanao anakuuliza...
  9. Jackyten

    Meya Ubungo: RC amelazimisha bango la mtaa wa Wanyama kuondolewa, kisa waliomleta ni Clouds Media

    Wanyama kafanya kitu gani cha kupelekea apewe mtaa bongo??? Kufadhili ndondo cup ama!!?? Kwa nini asiwe Samatta aliyeleta tuzo ya Afrika hapa nyumbani. Wanyama ni nani hasa kwetu sisi!!! Acheni upuuzi msishobokee watu au hao wameoewa chochote kitu!! Tuambieni kwanza anamchango gani katika hii nchi?
  10. Jackyten

    Smart move by Magufuli! Kuna mtu aliyeliona hili?

    Kwanini aliyekuwa Mwanasheria mkuu hajatiwa mbaroni
  11. Jackyten

    Kauli mbalimbali za wanaume wa shoka

    Ni maneno mawili tu KA- TA
  12. Jackyten

    Swali: Smelter ya Makinikia itazuia kusafirisha madini nje ya nchi?

    Kabla hujatoa mada jitahidi uwe unafuatilia mambo!!!! We upo nchi gani..??? Ushaambiwa kuanzia July kuna utratibu wa kuclear madini kabla hauajasafirishwa ili wakate kodi kutokana na thamani take, Na kama haitoshi kwa Mara ya kwanza JPM karuhusu mjadala wa sheria ya madini kwenda bungeni...
Back
Top Bottom