Msaada ndugu nataka kufahamu shule za private ambazo zinafanya vizuri kwa kidato cha nne ila ziwe katika mikoa ya Mwanza na Shinyanga ada isizidi 1,500,000/=
Wanyama kafanya kitu gani cha ajabu?? Kucheza spurs!!!! Magufuli nani asiyemjua Afrika hii kwa juhudi zake kupambana na wahujumu uchumi hata south atapewa mtaa, lakini kwa nini hasa wanyama kafanya kitu gani hasa!!! Kachukua hata uchezaji bora was Afrika!??? Haya miaka ya badae mwanao anakuuliza...
Wanyama kafanya kitu gani cha kupelekea apewe mtaa bongo??? Kufadhili ndondo cup ama!!?? Kwa nini asiwe Samatta aliyeleta tuzo ya Afrika hapa nyumbani.
Wanyama ni nani hasa kwetu sisi!!! Acheni upuuzi msishobokee watu au hao wameoewa chochote kitu!!
Tuambieni kwanza anamchango gani katika hii nchi?
Kabla hujatoa mada jitahidi uwe unafuatilia mambo!!!! We upo nchi gani..???
Ushaambiwa kuanzia July kuna utratibu wa kuclear madini kabla hauajasafirishwa ili wakate kodi kutokana na thamani take,
Na kama haitoshi kwa Mara ya kwanza JPM karuhusu mjadala wa sheria ya madini kwenda bungeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.