Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,451
- Thread starter
- #21
Imagine,vp kama Muhongo angekuwa ofisini leo?Huoni suala hilo lingeleta tension kwa serikali ya JPM?Yaani watu aliowadalalia Muhongo wamekamatwa na kunyimwa dhamana na mahakama,halafu refer wa game yuko ofisini,huoni kuwa JPM angekuwa kwenye mazingira mabaya kisiasa?Niambie,sasa hivi nani amemzungumzia Muhongo?Hii move imechezwa kwa akili kubwa,ndio maana hata wewe bado huamini!kutokumteua mwanzoni ndiyo ingekuwa calculated move otherwise ni blah blah
My speculation ni kuwa,Mara ya kwanza Rais alimteua Muhongo sababu hakuwa na full intel ya ushiriki wake zaidi ya tuhuma!Amejua issue hiyo kiundani baada ya uchunguzi wa Takukuru!
Think big