Nimeipenda sana hii"Mashujaa wanaonja kifo mara moja tu. Waoga hufa mara nyingi sana kabla ya kufikia kifo chao halisi. Kati ya vitu vinavyonishangaza ni wanadamu kuogopa kifo kwani kifo, kitu ambacho ni cha lazima huja muda wowote kwa jinsi kinavyotaka." William Shakespeare katika Julius Kaisari.
Ilitolewa na nan hii ?Vita ya madawa ya kulevya haijawahi kumuacha mtu salama
Jamaa ana kauli za kuumiza sanaAsiyeweza kulipa nauli ya kivuko ya shilingi 200 apige mbizi mpaka kigamboni" - magufuli john
"Mwanasheria Unaogopa Kushtakiwa?'' JPM
"Asiyeweza kulipa nauli ya kivuko ya shilingi 200 apige mbizi mpaka kigamboni" - xxxxxx
Jamaa ana kauli za kuumiza sana
Ila katika awamu yake alijitahidi sana ila ndo hivyo ndo tulishaitwagwa kichwa cha mwendawazimu.
Aliteswa sana alipokuwa mtoto, haya ndiyo matunda yakeJamaa ana kauli za kuumiza sana
Believe me I admire himIla katika awamu yake alijitahidi sana ila ndo hivyo ndo tulishaitwagwa kichwa cha mwendawazimu.
Live long mh.dk jakaya kikwete
Tumuombe rais mstaafu Mh.alhaj ali hassan mwinyi atengue hii kauli yake huwenda tukafanya vyema baada ya utenguzi huu wa kauli
BashiteIlitolewa na nan hii ?
Hujasikia waache wazee wapumzike...wamelifanyia MENGI taifa