Recent content by Jack Beur

  1. J

    Land Rover Discovery inauzwa

    Year of manufacturer 2001,km 147,000 Speed Limit 220 Manual transmission, Fuel :petrol No history of Road accident, no mechanical fault/damage to Engine,Price 16M, Owner Contact :0789737699, location Mwanza.
  2. J

    Marekani: Spika Nancy Pelosi achana nakala yake ya hotuba ya Rais Trump Bungeni

    Huyu Bibi Post Menopause inamsumbua, hata kama wanatofautiana kisiasa,hapaswi kumdhalilisha Rais wa Nchi kiasi hicho, kadhalilisha pia wamarekani wengi waliomchagua, thats too extreme, tena kwa kufanya hivyo ndiyo anazidi kumtengenezea Trump mazingira ya kuendelea kubaki kwenye Oval office...
  3. J

    Prof. Kabudi kumrithi Magufuli 2025?

    Hii thread ni Political Speculations tu. Kwa trend inavyoenda na upepo wa kisiasa usipobadilika inaonekana Magufuli akamrecommend Prof. Kabudi kugombea nafasi ya Rais wa Tanzania 2025 maana Prof anaonekana kuwa loyal sana kwa Magufuli na anaonekana kuwa mzalendo kama anavyotambulishwa. Time...
  4. J

    Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi

    Ahsante mkuu,umeongea kwa busara sana,ujumbe umfikie mlengwa.
  5. J

    Uhasama kati ya Waisrael na Wapalestina: Ninahitaji kujua the history behind

    Huu uhasama wa Waisrael na Wapalestina unaelezwa kwamba mnamo mwaka 1948 waisrael walivamia ardhi ya wapalestina na kuikalia kwa mabavu, inaelezwa pia waisrael walikuwa utumwani huko ulaya mashariki, Poland, Germany, na kwingneko, inaelezwa kwamba huko Ujerumani mtawala wa kipindi hicho Adolf...
  6. J

    Nyoka sio shetani tupinge upotoshaji huu, ni alama ya kiroho

    Dah !, articles ndefu hivyo kumtetea tu nyoka ?, anyway it is informative, hongera, you are good in your discipline.
  7. J

    Ushauri wa Bure: Serikali iachane na Askofu Kakobe

    Sure, sometimes siyo kila jambo ni ya kujibu, hata kukaa kimya ni busara. Kwa kuendelea kuliongelea hili ,the Government is playing his tunes, lakini pia kwa sasa inaonekana ni vita ya kiimani ambapo hakuna Serikali umewahi kuwa na mwisho mzuri kwa kuanzisha vita ya...
  8. J

    Ushauri wa Bure: Serikali iachane na Askofu Kakobe

    Nimekuwa nikifuatilia Mjadala unaondelea kati ya Askofu Kakobe na Serikali, nafikiri hoja ya Askofu Kakobe kwamba viongozi / Kiongozi wa Serikali atubu imesikika kama kweli kuna jambo linalohitaji kutubu, Viongozi wa Serikali hawapaswi kujiona wao ni malaika hawatendi...
  9. J

    SAMSUNG Flat screen, LCD inch 32 inauzwa

    Ina hali nzuri, ina mwaka mmoja na miezi 4, bei Laki 8. Serious buyer njoo inbox
  10. J

    Kesi ya Lulu: Mke wa Dr. Slaa asema Kanumba alikuwa na sumu mwilini, upungufu wa hewa na maumivu kwenye ubongo

    naomba niseme sina maslahi binafsi na msanii Elizabeth Michael "Lulu" ila ninaguswa na wakati mgumu anaopitia na ukilinganisha na umri wake mdogo, pia napenda kuona haki ikitendeka kwa marehemu Kanumba "justice for Kanumba " na kwa vile kesi ipo mahakamani tuuache mahakama...
  11. J

    Gwajima ni 'Threat to National Security', Mamlaka husika zimdhibiti

    Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu majibishano na mipasho ambayo anayejiita Askofu Gwajima na watu mbalimbali wanaotofautiana nae,a.k.a bifu, amekuwa akitumia mtaji wa forum ya waumini wake kuwaattack wagomvi wake non stop, ambapo hao victims bahati mbaya hawana forum ya kufight back, matokeo...
  12. J

    Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho dhidi ya mafanikio yake! Makonda wapuuze

    Sote tunashuhudia jinsi makamanda wa jeshi la Polisi mikoani wanavyokamata kete za madawa ya kulevya ikiwemo bangi, hii itaokoa nguvu kazi kubwa ya Taifa ambayo ingepotea, the initiator and the hero behind ni Mh Makonda, yeye ndo amekuwa na uthubutu wa kumfunga paka kengere, yeye ndo...
  13. J

    DODOMA: Bunge laazimia kuwa RC Dar na DC Arumeru waitwe mbele ya Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka

    Kwa hili LA madawa ya kulevya wote wameungana bila kujali itikadi zako za vyama, they r all against makonda, wakiwa kwenye kamati zao za huduma za jamii wanakuja na mapendekezo kibao na wanajifanya wana uchungu na maisha ya kijana walioathirika na madawa,wanasima kuchangia hoja Wote wanasema...
  14. J

    DODOMA: Bunge laazimia kuwa RC Dar na DC Arumeru waitwe mbele ya Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka

    Kwa hili LA madawa ya kulevya wote wameungana bila kujali itikadi zako za vyama, they r all against makonda, wakiwa kwenye kamati zao za huduma za jamii wanakuja na mapendekezo kibao na wanajifanya wana uchungu na maisha ya kijana walioathirika na madawa,wanasima kuchangia hoja Wote wanasema...
  15. J

    Chuo kizuri cha private clinical medicine diploma

    Hizo marks ni za form 6 au form 4? kama ni form 6 huna haja ya kwenda diploma, utapata degree, hata kama si muhimbili, utapata vyuo vingne
Back
Top Bottom