Huu uhasama wa Waisrael na Wapalestina unaelezwa kwamba mnamo mwaka 1948 waisrael walivamia ardhi ya wapalestina na kuikalia kwa mabavu, inaelezwa pia waisrael walikuwa utumwani huko ulaya mashariki, Poland, Germany, na kwingneko, inaelezwa kwamba huko
Ujerumani mtawala wa kipindi hicho Adolf Hitler aliwatesa sana kwenye gas chamber na concentrated camps, inaelezwa hili kovu halitakaa lisahaulike katika vizazi vya waisrael.
Ninachotaka kufahamu, hao waisrael walifka huko ulaya mashariki wakitokea wapi, ( ancestor land), walipelekwa huko kama watumwa au kwa minajili gani, maake kusema waisrael walikuja baadae kuwanyang'anya ardhi wapalestina bila kujua walikuwa wakiishi wapi kabla inakuwa ni ngumu kujua mtiririko wa tukio zima.
Naomba wajuzi wa historia wanisaidie kulielewa hili, pia naomba hao wataalamu wa hii history wajikite zaidi kwenye actual story, story ya kwenye Biblia ninaifahamu tangu nikiwa mdogo.
Ahsanteni sana.
Ujerumani mtawala wa kipindi hicho Adolf Hitler aliwatesa sana kwenye gas chamber na concentrated camps, inaelezwa hili kovu halitakaa lisahaulike katika vizazi vya waisrael.
Ninachotaka kufahamu, hao waisrael walifka huko ulaya mashariki wakitokea wapi, ( ancestor land), walipelekwa huko kama watumwa au kwa minajili gani, maake kusema waisrael walikuja baadae kuwanyang'anya ardhi wapalestina bila kujua walikuwa wakiishi wapi kabla inakuwa ni ngumu kujua mtiririko wa tukio zima.
Naomba wajuzi wa historia wanisaidie kulielewa hili, pia naomba hao wataalamu wa hii history wajikite zaidi kwenye actual story, story ya kwenye Biblia ninaifahamu tangu nikiwa mdogo.
Ahsanteni sana.