Dawasco Tabata hatuwaelewi.Nilikuwa nalipa bili yangu ya maji kupitia Max malipo kila mwezi.
Leo nimeenda ofisini kwao nimekuta bili yangu ipo vilevile, niliwauliza pale ofisini sikupata jibu la kuridhisha.
Sasa nauliza wahusika wakuu tatizo nini?
Nikweli kabisa mabalozi wengi tabia zao zinafanana, nilikuwa Brazil miaka michache iliyopita nilikwenda ubalozini katika wa Brasilia kumuona balozi kupata msaada nipate emergency travel document nirudi nyumbani baada ya passport yangu kuharibika na nilikuwa nayo akaizuia nakuniamuru niondokehapo...
Huyu dada bora alivyoondoka,hakuwa na msaada wowote ndani ya chama japo alikuwa Mbunge viti maalum.anaishi Tabatakimanga lakini tangia aupate ubunge vitimaalum chama alikiweka kushotowkushoto kabisa hapa alipotokea kimanga hata ukimuukiza kiongozi wa kata hawezi kumjua licha mikutano yate ya...
Hawa polisi wetu ndio mana tunasema wanatumiki,katika uchaguzi wa kutafuta Meya wa Ilala Madiwani wa ccm walileta fujo ndipo Mkurugenzi akaagiza vyombo vya dola vifanye kazi yake lakini hatukuona askari yeyote aliyejitokeza kuwadhibiti lkn ingekuwa madiwani walioleta fujo ni wa upinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.