Recent content by jabali gumu

  1. J

    Mbwana Samatta aifungia tena timu yake

    Kwahiyo ngapi ngapi mkuu?
  2. J

    Hivi wazungu wamegundua dawa ya HIV na hawatuambii?

    Mzizi mkavu njoo huku mkuu.uchangie mada.
  3. J

    Nadaiwa bili DAWASCO Tabata ambayo nilishalipa kupitia Max Malipo

    Dawasco Tabata hatuwaelewi.Nilikuwa nalipa bili yangu ya maji kupitia Max malipo kila mwezi. Leo nimeenda ofisini kwao nimekuta bili yangu ipo vilevile, niliwauliza pale ofisini sikupata jibu la kuridhisha. Sasa nauliza wahusika wakuu tatizo nini?
  4. J

    Mapato ya Bandari kushuka, wengi sasa kupitia Mombasa

    Jipu wameshalitumbua Hilo.
  5. J

    Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

    Miaka mitano wanapima mafuta kwa kijiti? Hivi hakukuwa naserikali kipindi hicho mpaka huu ujinga unafanyika?
  6. J

    Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

    Maswi,Mohongo watu walipiga kelele sana juu ya teuzi zao,ona sasa wanachofanya.Mhmagu Uwe unasikiliza sauti za watu.
  7. J

    Rai: Waziri aliyetuma SMS kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo awajibishwe!

    Umenena vema mkuu huyo waziri aliunguza Picha atumbuliwe jipu kama wanavyotumbuliwa wengine
  8. J

    Kumbe Maofisa balozi za Tanzania nje ya nchi wanaringa hivi?

    Nikweli kabisa mabalozi wengi tabia zao zinafanana, nilikuwa Brazil miaka michache iliyopita nilikwenda ubalozini katika wa Brasilia kumuona balozi kupata msaada nipate emergency travel document nirudi nyumbani baada ya passport yangu kuharibika na nilikuwa nayo akaizuia nakuniamuru niondokehapo...
  9. J

    Rachel Mashishanga, Christowaja Mtinda wahama CHADEMA na kujiunga CCM

    Huyu dada bora alivyoondoka,hakuwa na msaada wowote ndani ya chama japo alikuwa Mbunge viti maalum.anaishi Tabatakimanga lakini tangia aupate ubunge vitimaalum chama alikiweka kushotowkushoto kabisa hapa alipotokea kimanga hata ukimuukiza kiongozi wa kata hawezi kumjua licha mikutano yate ya...
  10. J

    BAKWATA waunga mkono Uchaguzi Kurudiwa Zanzibar

    Bakwata ni kikundi cha wachache kwa faida ya wachache
  11. J

    CHADEMA Yalaani udhalilishaji kwa viongozi wake unaofanywa na viongozi wa CCM

    Hawa polisi wetu ndio mana tunasema wanatumiki,katika uchaguzi wa kutafuta Meya wa Ilala Madiwani wa ccm walileta fujo ndipo Mkurugenzi akaagiza vyombo vya dola vifanye kazi yake lakini hatukuona askari yeyote aliyejitokeza kuwadhibiti lkn ingekuwa madiwani walioleta fujo ni wa upinzani...
  12. J

    Kubenea na Jacob 'wasambaratisha' uchunguzi Kinondoni

    Kubenea wabane hao mafisadi.
  13. J

    Baada ya Uhamiaji, chungulieni na TACAIDS mchunguze matumizi ya pesa za UKIMWI

    Wagonjwa hawapati msaada wa aina yeyote zaidi ya wafanyakazi wa kitengo hichi kujinufaisha wao, mimi ni shuhuda pale Amana Hospital.
Back
Top Bottom