True: Uso kwa uso na nyoka msalani

True: Uso kwa uso na nyoka msalani

Aisee umefanya makosa kweli kwann hujaweka mafuta ya taa kujiridhisha km ni nyoka kweli maana angetoka tuu.

Na kama nyoka wakishirikina bora ulivokimbia maana wana mitego yao kuwaua hawauliwi tuu kiboya boya
 
Nyoka kuishi kwenye choo cha shimo ni jambo la kawaida kabisa. Watu wengi hawajui hilo lakini nyoka wengi huishi kwenye vyoo hivyo kwa miaka mingi tu.
 
wanchekesha sana
vip hukukimbia na kimba linaning'inia kwa nyuma..?

hilo hata mimi nshakutana nalo ilkuwa usku lkm mm nlmkuta mlangoni nkamluka nkamwaga kojo kwanza alaf nkatoka nje tena kwa kumluka nkatafta zana nkampeleka kwenye ulimwengu wa kifo..
Kiongozi huyo nyoka uliekua ukimrukaruka Masaa yote alikua ni aina gani!!!au alikua keshajifia siku nyingi!!!
 
Kiongozi huyo nyoka uliekua ukimrukaruka Masaa yote alikua ni aina gani!!!au alikua keshajifia siku nyingi!!!
Huyo si anaongea tu kutu enjoy eti nyoka amruke na ye amwangalie tu nyoka sio mnyonge kihivo
 
Huyo nyoka atakuwa alirudi shimoni, usijenge Imani za kishirikina. Jaribu kumfatilia vizuri.
 
Kiongozi huyo nyoka uliekua ukimrukaruka Masaa yote alikua ni aina gani!!!au alikua keshajifia siku nyingi!!!
sijui alkuwa wa aina gani coz me so mtaalamu wa nyoka ila alkuwa na rangi nyeusi
alkuwa ajafa me mwenyewe nlkuwa wenge nnausngiz lkn nlpomchek kwanza usngz wote ulipepea nkamruka na ye aligeuka kwa kunielekea nkamwaga kojo huku nkmtazama nlpomalza nkamruka tena akataka kusepa tayari nkawa nshachukua zana nkampeleka kifoni... ilkuwa hvyo tu
 
pole sana tafuta tairi uichome moto then dumbukiza chooni kama yuko huko lazima atatoka
 
Huyo si anaongea tu kutu enjoy eti nyoka amruke na ye amwangalie tu nyoka sio mnyonge kihivo
mkuu hata skani yenyewe asubuhi nlpowatel hawakuamn coz wanajua me muoga knyama ila walmchek nyoka tu alshakufa
 
ha hahaha nimehisi kama usiku umeweweseka sana aisee... nyoka yupo fasta sana hakuna uchawi wala nini?
 
Unaambiwa ungemuua ungekuwa umejiua munyewe,Siku nyingine ukiingia msalalani sema "jina la Yesu,km ww ni mkristo na kama ni muislamu,sema " Bismillah"mpaka hapo ukiingia utakuwa salama kwa kukata gogo,
 
Pole sana, huenda ametumbukia kunako shimo la chooo au katoweka!!
Sasa "nyengo" ulikata kweli?! au ilipotea nayo kama nyoka?!
 
Back
Top Bottom