Recent content by ivy blue carter

  1. I

    wadada punguzeni VITAMBIII!!

    wape mama! vitambi kwa woote ni ugonjwa, mlionavyo vitokomezeni si afya ile ni tatizo! woote ladies n gents vitambi vinaboa!
  2. I

    Why some women can’t keep their legs together!?

    there you goo ma gal! ur very correct! kuna hitilafu kbs hapo si bure, hayo mambo yapo si wa kwanza wala hatakuwa wa mwisho, ajipange tu sawasawa! ajijue yeye ni nani, kama anatujiproblems au lah na anataka mwanamke wa aina gan!
  3. I

    2.3.1990 kidume ndo nimekuja duniani

    hahaha amesahau dah! happy born day dazipozi mx!
  4. I

    Natafuta mchumba

    Umeona enh ni waaz kijana anataka kulelewa lol!
  5. I

    JF Man & Woman Of The Year 2011 Competition

    mmh NN mbona izo id zoote ni kama zako tu, uko kujipigia kula mwenyewe lol! mie nachagua THE BOSS na NN! Afu wanawake KONGOSHO na MICHELLE!
  6. I

    Naomba wanawake wafunguke kwenye hili……………….!

    kama iv asubuh asubuh nitasoma but ikifika saa 7 uko mavitu marefuu mmh nakuwa nimechoka tayarii, nayasomaga yoote but usiku nikisettle ss! yap uko vizurii mtambuz!
  7. I

    Nimfanyeje mtu huyu afunguke akili?

    yah wengio ndivyo walivyo, eti akipata hela sio chaguo lake weye uliyekuwa nae kipindi cha ukata..... inauma haswaa! na ni mlemavu wa aje lakin?? nways ngoja yamkuta afunzwe na dunia atakoma ni limbukeni wa mapenzii huyoo hajayajua fresh ss ngoja yampe darasa atulie.
  8. I

    Naomba wanawake wafunguke kwenye hili……………….!

    huu nu kweli, hata m,ahala bosi mkubwa kama managing director sijui CEO akiwa mwanamama angalia ufanisi wake unakuwaje! wanakuwa na vijimajivuno vya ajabu, madongo hayaishi humo ofisin yan, nyodo tuu! yale yale ya wakina blandina nyoni lolz! yan hekaheka tuu mwanzo mwisho, umbea, majungu, midomo...
  9. I

    Wanaume mabahili acheni bwana hii ilishapitwa na wakati, kama umeishiwa si useme tu??

    bidada kama ni mume wa mtu izo ni signs kuwa kakuchoka na kuombaomba kwako khaa! ndio anasepa ivyoo taratibu, tatizo lako hujui kuchuna unachuna kishamba yan!
  10. I

    Tuliosoma Jangwani, Kisutu na Shaaban Robert tupo humu?

    six 2002?? afu io avatar ulisema yako?? mmh basi una mwili mzurii uko kijeba fulan ivii huzeeki bidada hongera!
  11. I

    Siku yangu ya kuzaliwa leo

    heri ya kuzaliwa mkuu!
  12. I

    hawa ndio wasanii wetu

    hawana lolote! wazinzi tuu!
  13. I

    Izzo B asema yeye ni mtu makini asingeweza shiriki uhuni wa 'Antivirus Show'

    sidhan kama izoo b anaweza kusema hayoo, leta source mkuu!
  14. I

    Yaliyomtokea Whitney yasiwatokee kina Lady Jay Dee!

    kweli kabisa mkuu maana j dee nae kwa kuwa teja la mapenzii tuu mh! god forbid!
  15. I

    Rehema fabian kanywa sumu akigombea penz la pedeshee

    huyoo rehema fabian ndio nani hapa mjini jaman embu tujuzenii!
Back
Top Bottom