Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Ugomvi wa kugombea mapenz kwa mapedeshee umechukua sura mpya baada ya rehema fabian kuamiua kunwa sumu ya panya akigombea penz la pedeshee jacob,aliokolewa na rafik yake na amefunguliwa mashtaka ya kutaka kujiua yuko nje kwa dhamana