Rehema fabian kanywa sumu akigombea penz la pedeshee

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
Ugomvi wa kugombea mapenz kwa mapedeshee umechukua sura mpya baada ya rehema fabian kuamiua kunwa sumu ya panya akigombea penz la pedeshee jacob,aliokolewa na rafik yake na amefunguliwa mashtaka ya kutaka kujiua yuko nje kwa dhamana
 
Anawazimu anakunywa sumu kwani hakuna bwana mwengine kumzidi huyo Pedeshee? anataka kuuza magazeti tuu.
 
Kama ameamua kunywa sumu naamini she is old enough to know nini ambacho kingefuatilia hivyo aendelee na mpango wake huo then atakipata anachokitafuta.Kila lakheri Rehema Fabian.
 
Unaweza kukuta amepima akajikuta yupo connected. Hiyo ya bwana ikawa cover story . Who knws ?
 
mbaya huyu mwanaume..anawala viboga na hawathamini mpaka wanahatarisha maisha yao.
 
Labda me sijui kupenda!ha ha haaa eti sumu!angempotezea ingekuwaje?maumivu ni kwa kipindi!uharo mtupu!akitoka hapo anywe tena!
 
shosti kwa hiyo huyu binti analiwa tigo?

nipeni mawasiliano yake akipona niwahi

kabla hajanywa tena nna hamu na hicho

kiboga chake
 
Huyu ni nani? Mcheza shoo, muigizaji, mwanamziki, mwanamitindo, mwanasiasa au nani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom