Recent content by Israel mtoa roho

  1. I

    Dalili za mwanzo israel mtoa roho

    Nipo na Mimi sio wa shetani
  2. I

    Hivi kicheche anakwama wapi?

    Ni mwanadada amejitoa na kuandika bango kuwa amemtunzia bikra kicheche Sasa sijui kicheche anakwama wapi? Kwa Nini asile chuma
  3. I

    SI KWELI Midomo ya mwanamke ina uhusiano na ukubwa wa uke wake

    Hamjambo ndugu... Hivi Ni kweli kuwa ukubwa wa mdomo wa mwanamke Ni sawa na ukubwa wa papuchi yake? Maana Kuna vijana wa hovyo tunaestimate size ya labia majora na labia minora kwa kumuangalia mtu mdomoni,. Waislam Wana akili Sana wanafunika Hadi midomo sa sijui wengine wavae barakoa ili...
  4. I

    Wasukuma kufuga fisi

    Ningekuwa nikisikia eti Kuna maeneo hapa Tanzania Wana ufugaji wa fisi. Wasukuma watani sijui niseme? Jambo la kujiuliza TANAPA wanalichukuliaje Hilo? Na vipi kwa Nini visiwepo vivutio vya utalii kule sengerema na gamboshi wazungu wakaleta pesa ya kigeni ya kuangalia fisi. Anyway mtwambie...
  5. I

    Sokoine University of Agriculture (SUA) special Thread

    Piga ua hamna kozi tamu Kama Wildlife management😂😂😂😂 Ua
  6. I

    Sala maalumu ya kuwaombea wapiga Punyeto waache

    Da hatimaye CHAPUTA mmekumbukwa katika maombi😂 Mmh serious?
  7. I

    Sala maalumu ya kuwaombea wapiga Punyeto waache

    Da hatimaye CHAPUTA mmekumbukwa katika maombi😂
  8. I

    Fundi ujenzi natafuta kazi

    Hello Naitwa Nyesigamkama Ni fundi ujenzi wa nyumba Fani ya Bricklaying and Concrete practice. Najenga kuanzia nyumba ya kawaida mpaka Ghorofa. Niko Murongo Kyerwa Kagera nafanya kazi mikoa yote. Namba yangu Ni 0614899688
  9. I

    Tajiri Uganda ajitangazia msiba ili kupima marafiki wa kweli

    Jamani dunia Ina Mambo na vijimambo. Tajiri mmoja nchini Uganda amewashangaza wengi. Tajiri huyo alikuwa na wanawake 4 kama ipasavyo Suna ya kiislam. Zamu ya mke mdogo ilipofika akaamua kuwa awadanganye watu kuwa amefariki ili awajue marafiki wa kweli. Alimpa simu mke mdogo awapigie simu...
  10. I

    Moshi: Kanisa Katoliki lamsimamisha Padri anayetuhumiwa kubaka Watoto

    Wapendwa naona mnajaribu kuinclude watu wengi. Huyo nae atakuwa alipitiwa na Kama ni tabia ya mtu Ni ya MTU mmoja sio kuinclude mapadre wote
  11. I

    Moshi: Kanisa Katoliki lamsimamisha Padri anayetuhumiwa kubaka Watoto

    Naona mnahitaji kutufanya sisi tunaosoma upadre tuuache lakini Mungu atatutia nguvu. Hili Ni Jambo la mtu mmojammoja
Back
Top Bottom