Kwani uliambiwa wahaya WENYE pesa wanakaa Bukoba ?
Wahaya wako Masaki,Mikocheni
Na Mbezi beach .
HATA HIVYO WAJENZI WAMJI SIO KABIRA MOJA
Sent using Jamii Forums mobile app
MTU ALIYEPIGWA RISASI ZOTE HIZO AKAPONA HIVI MNATARAJIA ANAWEZA KUSEMAJE AKIHOJIWA.
ANACHOKIFANYA LISSU KI KILE AMBACHO MWANADAMU YEYOTE ALIYEUMIZWA NA MTU ASIYEJULIKANA ANGEKIFANYA.
MKUMBUKE LISSU NI MWANASIASA NA MWEREVU MKUBWA WA MAMBO
Sent using Jamii Forums mobile app
HOJA YAKO HAINA MANTIKI :
MIMI BINAFSI NAIPUUZA
HAINA UTAFITI MAKINI KWA SABABU
WAUZA CHUMVI WAPO SIKU ZOTE .
HALI NI NZURI :
NENDA BAAA MAARUFU NDIPO UTAELEWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza stress fanya chochote ili kupunguza au kuondoa kabisa mawazo makali na magumu,
Epuka kula na kushiba sana usiku,
Kunywa maziwa fresh kwa wingi
Utaona matokeo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajanvi naomba kumfahamu vizuri huyu mchambuzi wa mpira anayesikika Tbc mara nyingi .
Nani anafahamu vyema huyu jamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
UNASEMA HAIPUNGUI LAKI SABA NA NUSU! ALAFU UNASEMA MTU ANAWEZA KUIUZA HATA MILIONI 1.5 NA ZAIDI .
KWA NINI USIUZE HIYO MILIONI 1.5 AMBAZO ZITAKUTOSHA KULIKO HIYO BEI UNAYOTANGAZA.
USIJIKAANGE MWENEWE KWENYE ISSUE KAMA HIYO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.