Recent content by Isma4u

  1. I

    Hivi kuna Mtu yeyote amefanikiwa kujaza form ya mikopo Loan Board (HESLB)?

    Jamani anayeweza kusaidia atusaidie, tupo wengi. Binafisi nimekwamba kwenye guarantor details.... mfumo unaload tu masaa yote!
  2. I

    Lowassa ni zaidi ya Rais, Vivuko vyote kutoa huduma bure

    Hiv unaelewa nini maana ya mfumo CCM?
  3. I

    Nahitaji mwanaume,umri 30-36

    Weka # bac, au???
  4. I

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Acha uongo + uzushi bwana! Chuki tu zinakufanya unapovuka hivyo!!!
  5. I

    Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Ni nini makusudi yako katika kuelezea habari za freemason???
  6. I

    Ni rasmi sasa VODA inafukuza wateja

    Bora airtel wanakupa dak 40, sms 1000 kwenda mitandao yote na Mb 300
  7. I

    Maandamano yaliyotangazwa kupinga maamuzi ya Kamati Kuu ya Chadema ....

    Jamani! Hata kiongozi yeyote anayeongoza jamii kutenda mema ni mtumishi wa Mungu!
  8. I

    Mwenyekiti wa CHADEMA, wabunge Lissu, Msigwa, Sugu, Silinde washikiliwa polisi Iringa!

    na ni lazima sheria ya kuhakikisha Chadema inasambaratika kabla ya 2015 inatumika ipasavyo. Vingnevyo....
  9. I

    Mfanyabiashara Maarufu wa Tanzanite, Erasto Msuya apigwa Risasi na kufariki papo hapo!

    Jamani habari ni nzito na chungu sana! Ni kama vile naota.., laiti iwe ndoto tu!
  10. I

    Maaskofu waipinga CHADEMA...

    Kichwa cha habari hii si sahihi..! Askofu hakuipinga CHADEMA pekee ila vyama vyote vya siasa ikiwepo CCM na CUF. Usiandike kishabiki!!!
  11. I

    Jamani nisaidieni, Pepo Kali la Ngono linanimaliza...

    Acha kujidekeza.., fanya kazi zitakazouchosha mwili utaona matokeo! Mshawasha utapungua na kujiendeleza kiuchumi. Tatizo unaendekeza starehe sana!!!
  12. I

    Je, una imani na Jeshi la Polisi?

    Kwa 7bu ya wazalendo wachache sana waliopo imani yangu kwao ni 15%
  13. I

    Bomu lalipuka kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha, watu kadhaa wahofiwa kupoteza maisha!

    Ee Mwenyezi Mungu, tujalie Neema yako ukatuokoe na majanga haya.., hatuwezi kuyastahimili!!!
Back
Top Bottom