Wakati shetani anasema hakuna mwanadamu awezae kushika sheria za mungu.Kulikuwa na wanadamu wengine zaidi ya ADAMU na HAWA?.Na kutoka kipindi Shetani alivyo fanya huo uovu ni Muda gani Mitume mingapi na wanadamu wangapi walipita mpaka Yesu anazaliwa na Mungu anamtoa kwa ajili ya Dhambi zetu.Kwa...
Kama huyo malaika alikuwa na ushwawishi kwa malaika wengine,kwa nini asingemuwai yeye kabla ya kuleta athari hiyo,ambayo anajua kabisa itamchukiza?,Kwa nini asingemuwahi kabla?.
Agrrey st,inaanza station inavuka mnazi mmoja inaenda mpaka mission kota.Unatakiwa umpunguzie zoezi la kutembea kwa kumpa intersection,mfano- Agrrey na Indira gehandi st. ,na market st. na Jamhuri st. na Libya st.na Bibititi st na kadhalika.
Duuh,viumbe nyie yaani mnatumia bundle zenu kujadili jinsi ya kutoa kiumbe uhai,hivyo vifaranga vikikua utachinja ule na pilau na firigisi zake,utajisikiaje pale umeshika tonge halafu mbwa wa jirani anabweka wewe wakwako umempa sumu ili uje kulifaidi jogoo peke yako?.Jaribu kutengeneza banda...
Hii issue ime raise kipindi hiki ambacho wasafirishaji wengi wakubwa huko Tanzania kuhamia Zambia,nina imani ni wao ndio wanao lobby hili jambo,huyo lukumay anajua hili,wazambia kipindi za nyuma gari zilizokuwa zikija huko Tanzania kwa wingi ni Nsembo Trans,wakakata mguu huko sababu wanasema ni...
Hiyo ni mahsusi wa wale wenye choyo ya chakula,wanajipikilisha wanashtuana kimya kimya wanapiga tonge,nyie wageni mmewashiwa luninga mnaangalia tamthilia na chupa ya maji ya uhai .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.