Natangaza rasmi kuanza utabiri

Natangaza rasmi kuanza utabiri

Niliwaambia acheni kumkejeli mshikaji huyu mwamba hakoseagi mkanikejeli na mie; sasa na kuna mwengine anatumia ID ya Tumia Akili hawa wamba wawili ni noma kwenye utabiri tafuteni ID ya tumia akili muone alichoandika mie sisemi kitu
Tumia Akili sio mtabiri wala Bwana Ndoto, yeye anaelezea mipango ya deep state, na huwa inabadilika endapo kuna mabadiliko yeyote kwenye system.
 
Tumia Akili sio mtabiri wala Bwana Ndoto, yeye anaelezea mipango ya deep state, na huwa inabadilika endapo kuna mabadiliko yeyote kwenye system.
Swadakta,kama ni mwamba kweli atupe ya mbele huko Duniani
 
Kwenye ndoto yako ya magu kufariki,kwenye ndoto pia uliota ugonjwa ndo ulimuondoa?
Nilisoma thread ya utabiri huo. Kwa maelezo aliyotoa huo mwaka, anasema alimwona Magu akiwa amekonda sana huku akihudumiwa na mkewe. Pia kuna watu wakawa wanasema si alijifanya mjuaji sana! Mwenzake aliyemtangulia alikuwa anafanya hivi na vile lakini yeye anajifanya mjanja kwa kufanya anavyojua yeye. Kwa ufupi kasema ugonjwa ni wa kutengenezwa. Hebu kasome mwenyewe huo uzi, search google "ndoto zilizokamilika jf"
 
Back
Top Bottom