Umeongea point, na kitu kizuri zaidi, ume kosoa na kutuoa mapendekezo yako, tofauti na watu wengi, hii ni aibu kwa wahandisi wetu na wahusika wore, hii barabara ni muhimu sana kwani inaunganisha kanda mashariki na kanda za kati, ziwa, magharibi na nchi za mipaka ya magharibi/kasikazini magharibu.