mahali ambapo c waelewag awa watu n kuhusu kusoma prvate na kuish mjn kwan akisoma prvte c anafuata silabas ya tz na bado mithan yake ya taifa n ya necta kama amtak watu wapate wanachoktaka yaher mfunge izo shule au mzfanye za serkal kuondoa aya matabaka na isitoshe mnachotoa n mkopo na kawaida...
ukisema ivo inamaana unataka asome ili tu aonekane amesoma ila ayuko comted na kaz yake ndo yanakuja tokea aya ya walim kutia mimba wanafunzi na isitoshe 2undako walimu awa wanaolazmishwa kusomea ualim weng watatengeneza zero za kutosha ngoja awa wa diploma wastaf af utachek matokeo ya 4m 4
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.