Natafuta shule nzuri ya private O-level Arusha au Moshi

Natafuta shule nzuri ya private O-level Arusha au Moshi

Thanks mkuu...ada zao zipoje...nataka at least around 3 m ada kwa mwaka...si unajua tena..
ISM ARUSHA ADA DOLA 18,400 kwa mwaka( boarding), hiyo m3 yako ni poketi money ya mtoto kwa mwezi.
kwa mwanafunzi mpya analipia Capital Development Fee $ 1300x2 (for two years)
kisha deposit ya $ 600 ambayo ni refunded baada ya mtoto kumaliza shule.
Pesa ya mtihani $ 720 ( kwa madarasa ya mitihani mikuu)
 
TENGERU SECONDARY SCHOOL

 P.O. Box 47, Arusha
 +255 (27) 2553446
Jaribu hizi hebu.
 
maua seminary,uru seminary,st.mariagoreth.,st merys duruti.tengeru boys,kilimanjaro boys,aisee shule zipo unapata mkuu
 
maua seminary,uru seminary,st.mariagoreth.,st merys duruti.tengeru boys,kilimanjaro boys,aisee shule zipo unapata mkuu
Naomba mawasiliano ya duruti na tengeru mkuu...afu vp performance ya duruti!? hope ipo Arusha
 
Mkuu kwa hiyo mikoa miwili shule nzuri ni ISM(Internation School of Moshi) kwa hapa tz hiyo shule kwanza haina mpinzani na mwanao atacheza mchezo yote anayotaka.

ISM ina kampus Arusha

NB: Hii ndiyo shule aliyosoma billionea no moja TZ Mohamed Dewji
Ndio maana Mo Dewji anamzuka sana na sports...!
 
Wakuu USA Seminary ina O-level!?
 
kuna st amedeus iko moshi kama unamtoa gav hakikisha rpot yake inasomeka vzur n shule ya jimbo katoliki moshi
 
kuna st amedeus iko moshi kama unamtoa gav hakikisha rpot yake inasomeka vzur n shule ya jimbo katoliki moshi
Nilipata mkuu...shukrani sana...nilimtupa hapo Trust st.Patrick...
 
Habari zenu wapendwa naomba kufahamu shule nzuri ya boarding O level private iwe mkoa wa Arusha au Moshi .
Ada. Isizidi 1.5 Milion. Msaada tafadhali[emoji122]
 
Mtoto ni jinsia gani...

Halafu kwa shule nzuri mpaka sasa hivi umeshachelewa...Shule nzuri zimeshamaliza usahili....
 
Habari zenu wapendwa naomba kufahamu shule nzuri ya boarding O level private iwe mkoa wa Arusha au Moshi .
Ada. Isizidi 1.5 Milion. Msaada tafadhali[emoji122]
Unapotaka kuchagua shule,usiangalie jina kubwa la shule au mkoa ilipo,Ingia kwenye mtandao wa Necta,tafuta shule ya kawaida ambayo ipo angalau 30 bora kwa kipindi cha miaka mtano mfululizo
 
Back
Top Bottom